Watu waliomshambulia sayidna ali
Waliomshambulia Sayidna Ali na kumuuwa walikuwa ni makhawariji. Tafadhali soma makala hapo chini ufahamu zaidi bofya hapa
Mtume alifurahia ushauri wa Nani katika Vita vya uhudi
Ungefaganua kidogo swali, ulikuwa ushauti katika maswala gani?
Katika uchimbaji wa handaki
Hivi havikuwa vita vya uhudi ila vilikuwa ni vita vya handaki
Aliyetoa ushauri wa kucjimba mahandaki alikuwa ni Salman al Fatis, Hivyo Mtume aliipenda rai hii ya kuchimba Mahandaki
Nyuma Endelea
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Nabii Salih(a.
Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Historia ya harakati za Mtume(s.
Jina Al-Khidhri halikutajwa mahali popote katika Qurβan.
Uendeshaji wa Dola ya Kiislamu Madinah.
Luqman ni katika watu wema kabisa waliopita zama za nyuma.