Navigation Menu



Waliomshambulia na kumuuwa Ali, makhawariji na si muawiya

Waliomshambulia na kumuuwa Ali, makhawariji na si muawiya

Watu waliomshambulia sayidna ali



Namba ya swali 008

Waliomshambulia Sayidna Ali na kumuuwa walikuwa ni makhawariji. Tafadhali soma makala hapo chini ufahamu zaidi bofya hapa



Namba ya swali 001

Mtume alifurahia ushauri wa Nani katika Vita vya uhudi



Namba ya swali 001

Ungefaganua kidogo swali, ulikuwa ushauti katika maswala gani?



Namba ya swali 001

Katika uchimbaji wa handaki



Namba ya swali 001

Hivi havikuwa vita vya uhudi ila vilikuwa ni vita vya handaki



Namba ya swali 001

Aliyetoa ushauri wa kucjimba mahandaki alikuwa ni Salman al Fatis, Hivyo Mtume aliipenda rai hii ya kuchimba Mahandaki



Namba ya swali 001

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 518


Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio     πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Lut (a.s)
(i) Tujitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuondoa maovu katika jamii kwa mikono yetu na ikiwa hatuwezi tuyakemee kama alivyofanya Nabii Lut(a. Soma Zaidi...

Kufunguliwa Yusufu(a.s) Kutoka Gerezani
Yusufu(a. Soma Zaidi...

Upinzani Dhidi ya Ujumbe wa Mtume(s.a.w)
Mtume(s. Soma Zaidi...

Uchaguzi wa Omar (Umar) kuwa khalifa wa Pili baada ya Mtume
Uchaguzi wa β€˜Umar bin Khattab kuwa Khalifa wa Pili. Soma Zaidi...

Wapinzani wa Ujumbe wa Nabii Salih(a.s)
Baada ya Nabii Salih(a. Soma Zaidi...

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake
Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake. Soma Zaidi...

tarekh 06
MAISHA YA UTOTONI YA MTUME S. Soma Zaidi...

Mapambano Dhidi ya Maadui wa Dola ya Kiislamu
1. Soma Zaidi...

Kulelewa kwa Mtume, maisha yake ya Utotoni na kunyonya kwake.
Historia na sura ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 06. Hapa utajifunza kuhusu historia ya Mtume akiwa mtoto. Soma Zaidi...

Chanzo cha vita vya Siffin na matokeo yake: Vita vya Ally na Muawia
Soma Zaidi...