Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
FANGASI WA SEHEMU ZA SIRI DALILI ZAO KWA WANAUME
1.Kuvimba kwa kichwa cha uume
2.Kuwasha kwa sehemu za siri, hususan kichwa cha uume
3.Uume kuwa mwekundu kwa kuchubuka ama kuvumba ama kwa mashambulizi ya fangasi hawa.
4.Kuota kwa mapele na maruturutu kwenye uume
5.Kuwasha uume ama kuungua moto kwa uume.
6.Kutokwa na majimaji meupe kwenye uume, majimaji haya huwa na harufu mbaya.
7.Maumivu wakati wa kukojoa na kufanya tendo la ndoa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 Madrasa kiganjani π3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 kitabu cha Simulizi π6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Vyakula 6 vya Asili Vinavyoongeza Nguvu za Kiume
Muhtasari (Executive Summary) βUpungufu wa nguvu za kiume ni changamoto inayowasumbua wanaume wengi, mara nyingi ikisababishwa na mtindo wa maisha, msongo wa mawazo, au mzunguko mdogo wa damu. Badala ya kukimbilia dawa za kemikali zenye madhara, makala haya yanachambua vyakula asili vinavyosaidia kuboresha mzunguko wa damu, kuongeza vichocheo vya testosterone, na kurudisha nishati mwilini.
Soma Zaidi...Dalili za Kisukari Zinazoonekana Mapema
βUgonjwa wa kisukari (Diabetes) ni moja ya magonjwa hatari ya kimfumo yanayokua kwa kasi duniani, lakini habari njema ni kwamba unaweza kudhibitiwa ikiwa utagundulika mapema. Makala haya yanajadili ishara na dalili za awali kabisa ambazo mwili hutoa wakati viwango vya sukari kwenye damu vinapoanza kupanda. Pia, yanabainisha tofauti ya dalili hizi na mabadiliko ya kawaida ya mwili, na kuwasilisha ukweli wa kisayansi dhidi ya dhana potofu zilizozoeleka mitaani.
Soma Zaidi...Njia za maambukizi ya Homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi njia za maambukizi ya Homa ya inni, Homa ya inni usababishwa na virusi viitwavyo Hepatitis B, huwapata watu wote hasa wale wenye umri chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?
Soma Zaidi...