menu
Home
Login
Register
Afya
Dini
ICT
Simulizi
Jifunze
Courses
Vitabu
Maswali
Updates
Apps
Afya
Dini
ICT
Simulizi
Jifunze
Courses
Vitabu
Maswali
Updates
Apps
Tafuta
PYTHON DATABASE
SOMO LA 9 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUIWEKA PROJECT YETU KWENYE FILE MOJA
Katika somo hili utaenda kujifunza namna ya kuunganisha mafaili mengi ya project na kuyaweka kwenye faili moja tu na kuweza kufikia faili zote kwa kupitia faili moja pekee
SOMO LA 8 PYTHON SQLITE JINSI YA KUPATA JUMLA YA MADENI KUTOKA KWENYE DATABASE
Katika Somo hili la nane utaenda kujifunza namna ya kuchambua data kwenye database yetu kwa kupata jumla ya kiasi cha fedha kilichokopwa
SOMO LA 7 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUFUTA DATA KWENYE DATABASE
Katika somo hili utakwenda kujifunza namna bora ya kufuta data kutoka kwenye database
SOMO LA 6 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUSASISHA (UPDATE) DATA KUTOKA KWENYE DATABASE
Karibu kwenye somo la sita! Leo tunajifunza UPDATE, amri ambayo inaruhusu kubadili au kusasisha data iliyopo tayari kwenye meza (table) yetu.
SOMO LA 5 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUSOMA (READ) DATA KUTOKA KWENYE DATABASE
Katika somo hili tutaenda kujifunza jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database yetu
SOMO LA 4 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUINGIZA DATA KWENYE TABLE NA DATABASE
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye table na database tuliyoiunda katika somo lililopita
SOMO LA 3 PYTHON SQLITE: JINSI YA KUUNDA TABLE KWENYE DATABASE YA SQLITE NA PYTHON
Katita somo hili sasa tutaenda kujifunza namna ya kuunda table kwenye database ya SQLITE kwa kutumia Python
SOMO LA 2 PYTHON SQLITE NA MUUNGANIKO WA DATABASE (DATABASE CONNECTION)
Karibu ujifunze Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)
SOMO LA 1: UTANGULIZI WA SQLITE NA JINSI YA KUITUMIA KATIKA PYTHON
Katika somo hili tutajifunza utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python