Somo la 6 python sqlite: Jinsi ya kusasisha (UPDATE) data kutoka kwenye database

Karibu kwenye somo la sita! Leo tunajifunza UPDATE, amri ambayo inaruhusu kubadili au kusasisha data iliyopo tayari kwenye meza (table) yetu. 

Somo la 6 python sqlite: Jinsi ya kusasisha (UPDATE) data kutoka kwenye database

Karibu kwenye somo la sita! Leo tunajifunza UPDATE, amri ambayo inaruhusu kubadili au kusasisha data iliyopo tayari kwenye meza (table) yetu. 

 

Hatua kwa Hatua: Kuelewa UPDATE

 

Somo hili linafungamana na hatua tatu kuu: Kutambua data ya kubadili, Kuandaa amri ya UPDATE, na Kutekeleza mabadiliko.

Mfano:
update.py

import db_conn as dbConn

 

def updateData(name:str, Taken:str, Quantity:int, location:str, price:int, Id:int):

    connection = dbConn.get_connection()

    pointer = connection.cursor()

    # UPDATE

    query = "UPDATE products SET name = ?, taken_by = ?, quantity = ?, location = ?, price = ? WHERE id = ?"

    data = (name, Taken, Quantity, location, price, Id)

    pointer.execute(query, data)

    connection.commit()

    print('Usakinishaji umekamilika kikamilifu')

    print()

    import read

   

def userUpdate():

   

    import read

   

    try:

        Id = int(input('Ingiza kitambulisho cha bidhaa > '))

        Name = input('Jina jipya la bidhaa > ')

        Taken = input("Jina jipya la mdeni > ")

        quantity = float(input('Kiasi kipya cha bidhaa > '))

        Location = input('Eneo la mdeni > ')

        Price = float(input('Bei ya bidhaa > '))

       

        updateData(Name, Taken, quantity, Location, Price, Id)

       

    except ValueError as error:

        print("Makosa " + error)

       

userUpdate()

       

       

 

 


 

1. Kazi ya userUpdate(): Kutambua Data

 

Kazi hii ndiyo inasimamia upatikanaji wa data kutoka kwa mtumiaji na kuanzisha mchakato.

 


 

2. Kazi ya updateData(): Kuandaa na Kutekeleza Amri

 

Kazi hii inafanya muunganiko na kutekeleza amri ya UPDATE kwa kutumia SQL.

 


 

Jambo la msingi:

Siri ya UPDATE ni WHERE! Kama unataka kusasisha data, lazima utumie WHERE kufafanua ni mstari (au mistari) gani ndio inapaswa kubadilishwa. Daima tumia ID kwa sababu ni kitambulisho cha pekee na salama.

VIDEO TUTORIAL: 👇

Tazama na download video hapa

MWISHO:

Somo lijalo litakuwa ni DELETE (kufuta data), ambalo pia linategemea sana WHERE ID = ?.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Emmanueli image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Database Main: ICT File: Download PDF Views 103

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Somo la 9 Python sqlite: Jinsi ya kuiweka project yetu kwenye file moja

Katika somo hili utaenda kujifunza namna ya kuunganisha mafaili mengi ya project na kuyaweka kwenye faili moja tu na kuweza kufikia faili zote kwa kupitia faili moja pekee

Soma Zaidi...
Somo la 5 Python Sqlite: Jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database

Katika somo hili tutaenda kujifunza jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database yetu

Soma Zaidi...
Somo la 1: Utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python

Katika somo hili tutajifunza utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python

Soma Zaidi...
Somo la 3 python sqlite: Jinsi ya kuunda table kwenye database ya SQLITE na Python

Katita somo hili sasa tutaenda kujifunza namna ya kuunda table kwenye database ya SQLITE kwa kutumia Python

Soma Zaidi...
Somo la 7 Python Sqlite: Jinsi ya kufuta data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza namna bora ya kufuta data kutoka kwenye database

Soma Zaidi...
Somo la 4 Python sqlite: Jinsi ya kuingiza data kwenye table na database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye table na database tuliyoiunda katika somo lililopita

Soma Zaidi...
Somo la 8 Python Sqlite Jinsi ya kupata jumla ya madeni kutoka kwenye database

Katika Somo hili la nane utaenda kujifunza namna ya kuchambua data kwenye database yetu kwa kupata jumla ya kiasi cha fedha kilichokopwa

Soma Zaidi...
Somo la 2 Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)

Karibu ujifunze Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)

Soma Zaidi...