Somo la 5 Python Sqlite: Jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database

Katika somo hili tutaenda kujifunza jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database yetu

Somo la 5 Python Sqlite: Jinsi ya kusoma (Read) data kutoka kwenye database

Kusoma (Read) data kutoka kwenye database ni hatua muhimu sana. Hapa ndipo tunapata faida halisi ya kuhifadhi taarifa zetu. Leo, tutajifunza jinsi ya kuunda faili la read.py na kuelewa kila mstari wa msimbo wake.

 


 

Hatua ya 1: Kuunda Faili la read.py

 

Fungua Text Editor (kama vile VS Code au Sublime Text), kisha uunde faili jipya na uli save kama read.py kwenye eneo lile lile ambalo faili za db_conn.py na insert.py zilipo. Kisha,uingize code zifuatazo.

Mfano:

read.py

import db_conn as dbConn

def ReadData():
    connection = dbConn.get_connection()
    cursor = connection.cursor()
    # SELECT
    query = "SELECT * FROM products"
    cursor.execute(query)
    results = cursor.fetchall()
    for Endex, result in enumerate(results, 1):
        Id, name, taken, quantity, location, price = result
        print(f'Jina la bidhaa: {name}, imekopwa kwa {taken}, kiasi ni {quantity}, eneo la mteja: {location} na kiasi cha deni ni {price:,}/-')
           
   
ReadData()
   

 


 

Hatua ya 2: Kuelewa Code katika faili la read.py

 

Sasa hebu tuchambue code zetu ili kuelewa kila mstari unamaanisha nini.

Baada ya kuiita function yetu ya ReadData() tuta run kwenye terminal yetu na sasa tutaweza kusoma vyema data zetu kutoka kwenye database.

VIDEO TUTORIAL: 👇

Tazama au Download video

MWISHO:

Katika somo litakalofuata tutaenda kujifunza zaidi jinsi ya ku sasisha (Update) taarifa zetu kutoka kwenye database

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Emmanueli image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: Python Database Main: ICT File: Download PDF Views 202

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Somo la 8 Python Sqlite Jinsi ya kupata jumla ya madeni kutoka kwenye database

Katika Somo hili la nane utaenda kujifunza namna ya kuchambua data kwenye database yetu kwa kupata jumla ya kiasi cha fedha kilichokopwa

Soma Zaidi...
Somo la 1: Utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python

Katika somo hili tutajifunza utangulizi wa SQLITE na jinsi ya kuitumia katika python

Soma Zaidi...
Somo la 9 Python sqlite: Jinsi ya kuiweka project yetu kwenye file moja

Katika somo hili utaenda kujifunza namna ya kuunganisha mafaili mengi ya project na kuyaweka kwenye faili moja tu na kuweza kufikia faili zote kwa kupitia faili moja pekee

Soma Zaidi...
Somo la 2 Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)

Karibu ujifunze Python Sqlite na muunganiko wa Database (Database Connection)

Soma Zaidi...
Somo la 6 python sqlite: Jinsi ya kusasisha (UPDATE) data kutoka kwenye database

Karibu kwenye somo la sita! Leo tunajifunza UPDATE, amri ambayo inaruhusu kubadili au kusasisha data iliyopo tayari kwenye meza (table) yetu. 

Soma Zaidi...
Somo la 3 python sqlite: Jinsi ya kuunda table kwenye database ya SQLITE na Python

Katita somo hili sasa tutaenda kujifunza namna ya kuunda table kwenye database ya SQLITE kwa kutumia Python

Soma Zaidi...
Somo la 4 Python sqlite: Jinsi ya kuingiza data kwenye table na database

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye table na database tuliyoiunda katika somo lililopita

Soma Zaidi...
Somo la 7 Python Sqlite: Jinsi ya kufuta data kwenye database

Katika somo hili utakwenda kujifunza namna bora ya kufuta data kutoka kwenye database

Soma Zaidi...