Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
SURA YA TANO
HUKUMU ZA IDGHAM . 1 Idghaam Al-Mutamaathilayni (Zinazofanana)
Hukumu hii hutokea wakati herufi mbili za aina moja zinapokutana, kwa namna ya kuwa herufi ya kwanza iwe na sakina na inayofata iwe na i’rabu. Hali hii itafanya herufi ya kwanza iingizwe kwenye herufi ya pil na hivyo hii ya pili inawekwa shada.
2 إِدْغام الْمُتَجانِسَيْنِ Idghaam Al-Mutajaanisayni (Zinazoshabihiana)
Hii hutokea pale herufi mbili zinazokaribiana kufanana katika matamshi zikkititana, na mnmna ambayo herufi ya kwanza iwe na sakina na inayofata iwe na i’rabu. Hali hii itapelekea kuwekwa shada kwa herufi ya pili.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kuna sababu nyingi za kuonyesha umuhimu wa Quran kushuka kwa mfumo wa kidogo kidogo
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kufundisha fadhila na faida za kusoma Alhamdu.
Soma Zaidi...Ni zipi hizo herufi saba, na ni vipi viraa saba katika usomaji wa Quran
Soma Zaidi...Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.
Soma Zaidi...