Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
1. Maumivu yanayochoma kwa ndani kabisa
2. Maumivu makali, wekundu kwenye mwili na kuvimba sehemu ambapo nyoka ameuma
3. Mtu hupata kichefuchefu na kitapika kwa sababu ya kuwepo kwa sumu kali
4. Mtu hupata shida katika kuona
5. Mate yanakuwa mengi mdomoni na pengine mtu anakuwa na joto mwilini
6. Pengine matatizo ya kupumua kwa shida hutokea kwa aliyepata shida ya kungatwa na nyoka
7. Mapigo ya moyo hushuka
8. Kizunguzungu hutokea kwa aliyepata na shida kama hiyo
9. Pengine degedege inaweza kutokea
Baada ya kuona dalili kama hizi mgonjwa inabidi apewa huduma ya kwanza na apelekwe hospitali mara moja Ili kuepuka madhara mbalimbali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 ai web app 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...Madhara ya mwili kujaa sumu
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Aina mbalimbali za michubuko
Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...ninatatizo la miguu kuuma nimepima wanasema seli nyeupe za damu ipo chini Sana sasa nauliza dawa hizi za vitamin k na sindano vinaweza nisaidia?
Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.
Soma Zaidi...Dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo
Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
Soma Zaidi...