Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Dalili za mtu aliyegongwa na nyoka
1. Maumivu yanayochoma kwa ndani kabisa
2. Maumivu makali, wekundu kwenye mwili na kuvimba sehemu ambapo nyoka ameuma
3. Mtu hupata kichefuchefu na kitapika kwa sababu ya kuwepo kwa sumu kali
4. Mtu hupata shida katika kuona
5. Mate yanakuwa mengi mdomoni na pengine mtu anakuwa na joto mwilini
6. Pengine matatizo ya kupumua kwa shida hutokea kwa aliyepata shida ya kungatwa na nyoka
7. Mapigo ya moyo hushuka
8. Kizunguzungu hutokea kwa aliyepata na shida kama hiyo
9. Pengine degedege inaweza kutokea
Baada ya kuona dalili kama hizi mgonjwa inabidi apewa huduma ya kwanza na apelekwe hospitali mara moja Ili kuepuka madhara mbalimbali
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Yajuwe maradhi mbalmbali ya ini na chanzo chake
Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
Soma Zaidi...Dalili za UKIMWI Huchukua Muda Gani Kuonekana?
UKIMWI (Upungufu wa Kinga Mwilini) husababishwa na virusi vya VVU (Virusi vya Ukimwi). Ni muhimu kutofautisha kati ya maambukizi ya awali ya VVU na ugonjwa wa UKIMWI (hatua ya juu ya maambukizi). Dalili za maambukizi ya VVU zinaweza kujitokeza ndani ya muda mfupi, lakini maendeleo kuelekea UKIMWI huchukua muda mrefu sana ikiwa mtu hatapata tiba.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa kichaa cha mbwa: Dalili na hatua za haraka.
Kichaa cha mbwa (Rabies) ni ugonjwa hatari wa virusi (Zoonotic disease) unaoambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu kupitia mate. Ugonjwa huu huathiri mfumo mkuu wa neva na, mara tu dalili zinapoanza kuonekana, huwa hauna tiba na husababisha kifo kwa asilimia karibu 100. Makala hii inaelezea utaratibu wa maambukizi, dalili za awali na za hatari, na hatua za dharura za kuokoa maisha pale mtu anapong'atwa na mnyama mwenye maambukizi.
Soma Zaidi...Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.
 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.Â
Soma Zaidi...Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)
Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na
Soma Zaidi...Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini
Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.
Soma Zaidi...