nina upungufu wa damu HB 4 niko nyumban maana hispitali nimeruhusiwa ila nina kizungu zungu

nina upungufu wa damu HB 4 niko nyumban maana hispitali nimeruhusiwa ila nina kizungu zungu

Nina shida.

Download Post hii hapa

nina upungufu wa damu HB 4 niko nyumban maana hispitali nimeruhusiwa ila nina kizungu zungu

Nina shida...nina upungufu wa damu HB 4 niko nyumban maana hispitali nimeruhusiwa ila nina kizungu zungu muda wote na kichwa kinauma nifanyeje??



Namba ya swali 053

Sorry nilikuwa bize sana sikujibu sms yako. Umesema una upungufu wa samuy na umeruhusuwa nyumbani, unasumbuliwa na kizunguzungu Pole sana. Je uliongezewa damu? Ama ulipewa maelekezo gani?



Namba ya swali 053

Nilpewa vdonge



Namba ya swali 053

Kizunguzungu, na mapigo ya moyo kwenda mbio ni kwa sababu ya damu. Itakapo kaa sawa hutasikia tena hali hizo. Jatibu kukaa chini ama kulala pindi unapopata kizunguzungu



Namba ya swali 053

Ahsante sana..Nashukuru kwa kujali



Namba ya swali 053

Ahsante pia, samahani sana kwa kuchelewa kukujibu. Tupo pamoja ukihitaji ushauri zaidi usisite kuwasiliana nami



Namba ya swali 053

Sawa...nashukuru



Namba ya swali 053

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 795

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dalili za unyanyasaji wa kimwili
Dalili za unyanyasaji wa kimwili

Unyanyasaji wa kimwili. Unyanyasaji wa watoto kimwili hutokea wakati mtoto amejeruhiwa kimwili kimakusudi. Unyanyasaji wa kijinsia. Unyanyasaji wa watoto kingono ni shughuli yoyote ya kingono na mtoto, kama vile kumpapasa, kushikana mdomo na sehemu

Soma Zaidi...
Mbinu za kuponyesha majeraha
Mbinu za kuponyesha majeraha

Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana
Mabadiliko yanayotokea wakati wa kubarehe kwa wsichana

Post hii inahusu zaidi mabadiliko katika umri wa kubarehe kwa wsichana, ni kipindi ambacho watoto huelekea ujana, utokea Kati ya miaka kuanzia Kumi na kuendelea.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo
Madhara ya kutotibu Ugonjwa wa homa ya utu wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu homa ya uti wa mgongo, kwa kuwa ugonjwa huu mara nyingi uathiri sehemu za kwenye ubongo kuna madhara ambayo yanaweza kutokea endapo Ugonjwa huu haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako
Ijue rangi za mkojo na maana zake katika mwili kuhsu afya yako

Posti hii inahusu zaidi rangi za mkojo na maana zake, hizi ni rangi ambazo uweza kutokea kwenye mkojo wa mtu mmoja na mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa, chakula,na mtindo wa maisha inawezekana unywaji wa maji au kutokunywa maji.

Soma Zaidi...
Kwanini mdomo unakuwa mchungu
Kwanini mdomo unakuwa mchungu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa watoto
Utaratibu wa lishe kwa watoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa watoto

Soma Zaidi...
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli
Huduma ya Kwanza kwa aliyekazwa na misuli

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyekazwa na misuli

Soma Zaidi...
huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni
huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...