picha

Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume

Habari!

Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume

Habari! Samahan Ningependa Kujua Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume



Namba ya swali 034

Ni ngumu kuzijuwa ndani ya siku moja mpaka wiki hadi wiki mbili. Ila kama utakuwa makini zaidi na mwili wako unaweza kujijua ndani ya siku moja

1. Cheki mabadiliko ya joto la mwili wako. Kama joto lako toka siku ya hatari halikushuka likaendelea mpaka kuingia siku zisizo hatari huenda ulibeba ujauzito.

2. Cheki utelezi kwenye uke wako kama umeongezeka, Cheki mabadikiko ya afya yako, kama mapigobya moyo, hali ya kichwa kama ni chepesi, kizunguzungu, n.k Chunguza magitiy yako. N.k



Namba ya swali 034

Ahsante



Namba ya swali 034

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 3192

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 web hosting     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya siku 4

Unaweza kutaka kujuwa je naweza kupata dalili za mimba baada ya siku nne toka ujauzito kutungwa? ama baada ya siku nne toka kushiriki tendo la ndoa. Makala hii itakwenda kujibu maswali haya na mengineyo.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba ya watoto mapacha

Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.

Soma Zaidi...