Mali inayojuzu kutolewa Zakat, Nisaab na kiwango cha Zakat
Aina ya mali inayojuzu kutolewa Zakat imeelezwa kwa wazi katika
Qur-an na Hadith sahihi. Mali inayojuzu kutolewa Zakat ni ile iliyofikia au kuzidi kima maalum kiitwacho Nisaab na kubakia katika milki ya mwenye hiyo mali kwa kipindi chote cha mwaka mmoja. Kila aina ya mali ina nisaab yake, Nisaab ni kiwango cha mali kinachostahiki kitolewe Zakat. Aina ya mali inayojuzu kutolewa Zakat ni:
(i)Mazao yote ya shambani
(ii)Wanyama wafugwao kwa ajili ya chakula
(iii)Dhahabu (gold), fedha (silver), au fedha taslim (cash)
(iv)Vito (mapambo ya dhahabu na fedha)
(v)Madini na mali ya kuchimbuliwa chini ya ardhi au mali ya kuokota
(vi)Mali ya biashara
Umeionaje Makala hii.. ?
Endapo mtu atamuacha mke wake kabla hata ya kukutana kimwili, basi talaka hii itahukumiwa kwa namna hii.
Soma Zaidi...Kuchunga au kutekeleza ahadi ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha faida na umuhimu wa kijenga uchumi katika jamii ya kiislamu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha sunnah 9 za swala. Sunnah hizi ni zile ambazo ukiziwacha swala yako haibatiliki.
Soma Zaidi...