16.
16. Kuepuka Mabishano
Mabishano husababisha ugomvi, maudhi au kudharauliana. Mabishano yaweza kutibua mahusiano mzuri kati ya watu. Hivyo Uislamu unatukataza kubishana. Tunatakiwa tuzungumze na watu na kufahamishana mambo kwa hoja na sio kwa mabishano. Tunafundishwa katika Qur-an kuwa tukizungumza na watu ambao hawataki kuelewa bali wanafurahia ubishi tu, basi tusiendelee kuzungumza nao. Bali tuagane nao kwa salama.
βNa waja (wema) wa Rahman ni wale wanaotembea katika ardhi kwa unyenyekevu na wajinga wakisema nao, huwajibu βSalama β. (25:63)
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 278
Sponsored links
π1 Kitabu cha Afya
π2 Madrasa kiganjani
π3 kitabu cha Simulizi
π4 Kitau cha Fiqh
Uandishi wa hadithi wakati wa tabiina (wafuasi wa maswahaba)
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Nini maana ya Kibri, madhara yake na kujiepusha na kibri
18. Soma Zaidi...
jamii somo la 26
(vii)Hufanya bias hara na Allah (s. Soma Zaidi...
Nini maana ya Uchoyo, na madhara yake kwenye jamii
31. Soma Zaidi...
Assalam Baada yakufariki wazazi wake mtume alilelewa nanani???
Mtume Muhammad s.a.w amezaliwa yatima asiyena baba. Lakini hii haikumfanya asipate maelezo bora yaliyo mazuri. Je unajuwa aliyemlea baada ya kufariki kwa mama yake?. Soma Zaidi...
Zoezi la 5
Maswali mbalimbali kuhusu fiqih Soma Zaidi...
Je wajuwa kuwa jua hujizungurusha kwenye mhimili wake?
Tulipokuwa shule tulisoma kuwa jua halizunguruki, ila dunia ndio huzunguka jua. Soma Zaidi...
Elimu
Uwanja wa elimu na maarifa Soma Zaidi...
Neno la awali
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Soma Zaidi...
Kitabu Cha Quran na sayansi
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...