image

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.


- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.


- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;




a) Haki za kila binaadamu

- Haki ya kuishi

- Haki ya usalama wa maisha yao

- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru binfsi

- Haki ya usawa wa binaadamu

- Haki ya mahusiano



b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya kuendesha maisha binafsi

- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema

- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa

- Haki ya kuamini na kuabudu

- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola

- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola



c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao

- Haki katika sheria za jinai

- Haki katika sheria za madai

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi

- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qur’an (2:257)



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 508


Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Tarstibu za kulipa swaumu ya Ramadhani
Hapa utajifunza namna ambayo utatakiwa kulipa funga ya Ramadhani kwa siku ambazo hukufunga Soma Zaidi...

Haki ya kumiliki mali katika uislamu
Soma Zaidi...

Hii ndio hutuba ya ndoa ya kiislamu
Hapa utajifunza utaratibu wa hutuba ya ndoa ya kiislamu. Sharti za jutuba ya ndoa na jinsibya kuozesha Soma Zaidi...

NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r. Soma Zaidi...

Taratibu za kutaliki katika uislamu.
Hapa utajifunza taratibu zinazofuatwa wakati wa kukusudia kumuacha mke. Pia utajifunza sababu za kiwepo kwa eda baada ya kuachwa mwanamke. Soma Zaidi...

Kufunga Mwezi wa ramadhani kisheria
Soma Zaidi...

Ni watu gani wanaopewa Zaka
Soma Zaidi...

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu
Soma Zaidi...

Hali ya kuzuiliana kurithi katika uislamu
KuzuilianaTumeona kuwa wanaume wenye kurithi ni 15 na wanawake wanaorithi ni 10. Soma Zaidi...

Maandalizi kwa ajili ya kifo
Mwanadamu anatakiwa aishi huku akikumbuka kuwa ipo siki atakufa. Hivyo basi inatupata lujiandaa mapema kwa ajili ya kifo. Soma Zaidi...

SHARTI ZA KUWAJIBIKA KWA ZAKA
Soma Zaidi...

kuletewa ujumbe
(c)Kuletewa Ujumbe na Malaika kutoka kwa Allah (s. Soma Zaidi...