Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Download Post hii hapa

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.


- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.


- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;




a) Haki za kila binaadamu

- Haki ya kuishi

- Haki ya usalama wa maisha yao

- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru binfsi

- Haki ya usawa wa binaadamu

- Haki ya mahusiano



b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya kuendesha maisha binafsi

- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema

- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa

- Haki ya kuamini na kuabudu

- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola

- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola



c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao

- Haki katika sheria za jinai

- Haki katika sheria za madai

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi

- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qur’an (2:257)



                   

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1011

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Aina za talaka, sharti zake na taratibu za kutaliki katika uislamu
Aina za talaka, sharti zake na taratibu za kutaliki katika uislamu

Maana: ni utaratibu wa kuvunja mkataba wa ndoa baina ya mume na mke mbele ya mashahidi wawili kwa kuzingatia sheria ya Kiislamu.

Soma Zaidi...
Swala ya jamaa.
Swala ya jamaa.

Kipengele hiki tutajifunza kusimamisha swala ya jamaa,swala za ijumaa.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kusherehekea siku ya idi katika uislamu
Jinsi ya kusherehekea siku ya idi katika uislamu

Uislamu umeweka taratibu maalumu za kuzifata katika kusherehekea siku ya idi.

Soma Zaidi...
Maana ya Mirathi na kurithi katika uislamu
Maana ya Mirathi na kurithi katika uislamu

Maana ya MirathiMirathi katika Uislamu ni kanuni na taratibu alizoziweka Allah (Sw) katika kuwagawawia na kuwarithisha familia na jamaa, mali aliyoiacha marehemu.

Soma Zaidi...
Sera ya uchumi katika uislamu
Sera ya uchumi katika uislamu

Hapa utajifunza sera za kiuchumi katika uchumi wa kiislamu. Hapa utajifunza sera kuu tatu za uchumi wa kiislamu.

Soma Zaidi...
NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI
NI KWA NINI TUNASWALI?, NI UPI UMUHIMU WA KUSWALI NA NI ZIPI FADHILA ZA KUSWALI

Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r.

Soma Zaidi...
Masharti ya swala
Masharti ya swala

Sharti za SwalaSharti za Swala Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali.

Soma Zaidi...
Aina za twahara na aina za najisi
Aina za twahara na aina za najisi

Katika post hii utakwenda kuzijuwa aina za twahara katika uislamu. Utaviona vigawanyo vya twahara kulingana na maulamaa wa Fiqh

Soma Zaidi...