Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu
- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.
- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.
- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;
a) Haki za kila binaadamu
- Haki ya kuishi
- Haki ya usalama wa maisha yao
- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade
- Haki ya heshima
- Haki ya uhuru binfsi
- Haki ya usawa wa binaadamu
- Haki ya mahusiano
b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu
- Haki ya kuendesha maisha binafsi
- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema
- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa
- Haki ya kuamini na kuabudu
- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola
- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola
c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu
- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao
- Haki katika sheria za jinai
- Haki katika sheria za madai
- Haki ya heshima
- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi
- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qurβan (2:257)
Umeionaje Makala hii.. ?
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Hspa utajifunza sasa jinsi ya kugawa mirathi kutokana na viwango maalumu.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza hatuwa kwa hatuwa za kuchaguwa mchumba kulingana na sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Haki ya KutalikiKatika jamii nyingi za kjahili haki ya kutoa talaka iko kwa mwanamume tu na mwanamke hana haki yoyote ya kumtaliki mumee.
Soma Zaidi...Zijuwe fadhila za usiku wenye cheo kuliko nyusiku ya miezi 1000.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...