Madhara kwa wasiofanya mazoezi

Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi.

Madhara kwa wasiofanya mazoezi.

1. Kuwepo kwa magonjwa mbalimbali ya kuambukizwa.

Kwa sababu ya kutofanya mazoezi Kuna hatari ya kuwepo kwa magonjwa mbalimbali yasiyoambukizwa magonjwa hayo ni pamoja na saratani mbalimbali, mshutuko wa moyo na kisukari hayo ni baadhi ya magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwa watu ambao hawafanyi mazoezi.

 

2. Kuwepo kwa Uzito mkubwa na unene wa kupitiliza.

Kwa sababu ya kuwepo kwa mafuta kwenye mwili Kuna hatari ya kuwepo kwa uzito mkubwa na uliopitiliza  kwa sababu kila kitu kinachoingia mwilini ukaa humo humo na hakitoki mwilini hali inayosababisha kuwepo kwa uzito mkubwa na unene wa kupitiliza.

 

3. Pia kutofanya mazoezi usababisha kuwepo kwa presha .

Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta kwenye mwili usababisha mishipa kuziba na upelekea kuwepo kwa presha kw watu ambao hawafanyi mazoezi.

 

4. Pia kwa wale wasiofanya mazoezi wanaweza kuwa na matatizo katika upumuaji.

Kwa sababu ya kuwepo kwa mazoezi usaidia vile vile kuweka kifua kwenye hali nzuri na pia mapafu yanakuwa na uwezo wa kupitisha hewa Vizuri kabisa bila shida yoyote, ila kwa wale wasiofanya mazoezi ni vizuri kabisa kufahamu kwamba wanaweza kupata matatizo mbalimbali katika upumuaji.

 

5.vile vile kwa wale wasiofanya mazoezi wanaweza kupata matatizo ya kuwepo kwa cholesterol kwenye mwili kwa sababu cholesterol usababishwa na kuwepo kwa kiwango cha mafuta mwilini kwa hiyo kwa wale wanaofanya mazoezi hawawezi au ni vigumu kupata tatizo hili kwa hiyo ni vizuri kabisa kufanya mazoezi Ili kuepukana na tatizo la kuwepo kwa cholesterol mwilini.

 

6. Pia kwa wale wasiofanya mazoezi Wana uwezekano wa kupata na maradhi ya mara Kwa mara kama vile mafua, kikohozi vi homa homa vya kila wakati na magonjwa madogo madogo kwa hiyo ni vizuri kabisa kufanya mazoezi Ili kujiepusha na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

 

7. Pia kwa wale wasiofanya mazoezi miili yao huwa mizito na pia mifsuli pamoja na mifupa huwa laini kwa hiyo ni vizuri kabisa kufanya mazoezi Ili kuweza kujiepusha na hali ya kuwepo kwa ulaini kwenye mifupa na misuli 

 

8 . Kwa wale wasiofanya mazoezi jitahidi walau kutafuta kitu chochote cha kukufanyaa utoe jasho kwa sababu mazoezi ni dawa na pia mazoezi ni kinga ni vizuri kabisa kufanya mazoezi.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 2450

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

SHUGHULI ZA KILA SIKU

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 81-100

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dondoo za afya

Soma Zaidi...
Kitabu Cha Afya na Lishe

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Nguo zinazovaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake

Posti hii inahusu zaidi nguo za kuvaliwa kwenye chumba cha upasuaji na kazi zake, hizi ni nguo ambazo wahudumu wa afya wanapaswa kuzivaa wakati wa upasuaji kwa ajili ya kuwakinga na Maambukizi kati ya wahudumu wa afya na wagonjwa pia

Soma Zaidi...
Dondoo za afya 41-60

Somo Hili linakwenda kukuletea dondoo mbalimbali za afya

Soma Zaidi...
DONDOO 100 ZA AFYA

Pata dondoo 100 za Afya

Soma Zaidi...