MINYOO NA HATARI YEKE KWA AFYA: kuwashwa matako, kupungua uzito, kukosa hamu ya kula, kupungua damu
MINYOO NA HATARI YEKE KWA AFYA Utangulizi Karibu tena kwenye makala zetu za afya.
DARASA LA AFYA: NENO LA KWANZA
MINYOO NA HATARI YEKE KWA AFYA
Utangulizi
Karibu tena kwenye makala zetu za afya. Makala hii ni katika mwendelezo wa makala zetu za afya na maradhi. Katika makala hii utakwenda kushuhudia mambo mengi sana kuhusu minyoo. Tumechagua mada hii kwa sababu tatizo la minyoo limekuwa ni tatizo pana sana na linaathiri watu wengi hususan waishio vijijini.
Watu wengi hawatambui athari za minyoo kwa mwanadamu ijapokuwa wanaishi na minyoo hata bila ya kugundua. Hatimaye wanashindwa kula kwa kukosa hamu ya kula, wanashindwa kufanya kazi vyema kwa miwasho na ushovu. Wanaingia gharama nyingi kwa kupungukiwa na damu na kutibu maradhi mengine yaliyosababishwa na minyoo.
Hivyo usikose kwenye makala hii yenye faida kwa ajili ya afya yako, na afya ya watu wa karibu yako. Ukigundua kuna kosa lolote katika makala hii, wasilianan nasi kwa haraka zaidi ile kupunguza madhara zaidi yatakayosababisha na kukosea kwetu.
Mwandishi: Mr.Rajabu Athuman
Mchapishaji: bongoclass
Chanzo: www.bongoclass.com
Email: admin@bongoclass.com
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Msongo wa mawazo kazini na jinsi ya kuukabili.
Kazi ni sehemu muhimu ya maisha yetu, lakini inapogeuka kuwa chanzo cha hofu, uchovu, na kutoridhika, inakuwa hatari kwa afya yako. Msongo wa mawazo kazini (workplace stress) ni changamoto inayowapata wengi, kuanzia wafanyakazi wa ngazi za chini hadi viongozi. Makala haya yanakupa mbinu za kitaalamu za kutambua dalili za msongo na hatua za vitendo za kuurejesha usawa katika maisha yako ya kikazi.
Soma Zaidi...Kitabu cha Afya 03
Yajuwe mambo yanayoathiri afya ya miili yetu, jifunze mambo mengi kuhusu afya.
Soma Zaidi...Vipi mkojo unaeleza kuhusu afya ya mtu
Hapa tutajifunza namna ambavyo mkojo unaweza kueleza kuhusu hali ya kiafya ya mtu
Soma Zaidi...Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.
Soma Zaidi...