Faida za mbegu za maboga

  1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
  2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
  3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
  4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
  5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
  6. Hudhibiti kiwango cha sukari
  7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
  8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
  9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
  10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo