Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Za jioni mimba ya wiki 3 ikitoka inakuaje
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 941
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Pole Kwa majukumu! Samahani Mwanangu ana miezi 8,ila toka juzi hapati haja ndogo,km ilivyo kawaida Jana Hadi Leo kakojoa mara1, Naomba msaada
Hlw nimesoma nakala yenu nasumbuliwa na tumbo upande wa kushoto kuna muta yanakuja na kupotea
Niliona tarehe 5 mwez w kwanza ila tarehe 24 zlikua zmetoka kdgo zenye rang fulan nitofauti kabisa naperiod y kawaida ad najckia aja ndg marakwamara uchovu ucngizi marakwamara na mapgo ya moyo yanaenda kwa kasi sana sanasna nmkitoka kula cjui nn shda
Nauliza Mimi nipo Zambia Kwa jina naitwa Kennedy kama umeathilika vipimo vinauwezo wa kusoma negative miezi sita
Ni njia gani bora ya kuzuia magonjwa ya zinaa?
Mimi Nina tatizo LA kuwa nikimkojolea mwanamke shahawa baada ya dakika chache anakuwa anahisi maumivu makali tumboni mwake nimetumia dawa za hospitali lakini tatizo linazidi kuwa kubwa na si Kwa mke wangu tu nimejaribu pia Kwa wanawake wengine hali Bado ni Ile Ile.Nifanyaje Ili nikae sawa?