Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Mm Nina miaka 32 ninamida sasa natumia dawa za ukimwi na cjawahi pata tatizo lolote toka nianze kutumoa na toka nianze kutumia dawa ninazaidi ya miaka SITA Sasa hivi karibuni nimeanza kupata vidonda vya ulimi uja na kuondoka je tatizo linawekua nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1248