Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujifunza makala za ulaji wa vyakula
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 317
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mm nimjamzito nanimefikisha miezi Tisa mtoto anatuna sehem Moja maumivu yanakua makali tatizann namgogo
Nauliza eti kama huna mimba na tarehe za kuingia period bado na kuna damu kidogo inatoka je inasababishwa na Nini?
Nataka kujua ipo tiba ya uvimbe kwenye. Kibofu?
Habar jee ukiwa mjamzito namimba ishafika wiki 37 unaweza kuzaa na mtoto akapona na ukijihis sehemu ya uke inajaa nidalili gn
Habari Za. jioni Pole na majukuku. naomba unisaidie chakula matunda MA vyinywaji nitskavyoweza kuvitumia maana mwili unaisha nguvu
kwenye kibofu changu Cha mkojo Kuna maji maji ambayo hayakauki na nahisi maumivu makali yasiyoisha sijajuaa shidaa ni nini