Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nataka kujifunza makala za ulaji wa vyakula
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 317
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Lkn me najiulizaga swali korona virus na hiv ni virus kuna maemo wanasemaga virus hatibiki Sasa kama hatibiki why wanaweza kutibu korona afu ukimwi hawawez kutibu ? Embu nisaidie dr kama unauwelewa ju ya hilo jambo nalojiuliza
Hiv uume kuwasha kwenye kichwa na kutoa majimaji nchia ya mkojo nidalili xaugonjwa gani
Ninasumbukiwa na uvimbe wa titi nitajuaje kama uvimbe ni wakaida na nimda gani nikae ili nikamuone doctor?
Kwanin mtu anapata dalili zote za kUingia period kabla ya tarehe na tarehe ya kUingia period damu aziona na dalili zote za kUingia alikuwa nazo ii inasabsbishwa na nn
Nina miaka 29 mi Ni mwanaume swali langu nliumwa vidonda vya tumbo soon nkatbiw lkn mdomo kweny lips zinakauka Mara kwa Mara j Inaweza kua n viashiria gan???????? Pli j unawez kusex n mtu mwathiriak hlf usipate maambukiz??
Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima