Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Samahan ningependa kujua aina za protin
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 932
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari niliingia hedhi tarehe 11 nikamaliza tarehe 14 baada yahapo nikakutana na mwenzangu tarehe 20 je naweza kupa mimba
Na vipi inawezekana mwanamke kuingia kwenye siku zake bila ku bleed damu? Yaani asione dalili yoyote?
Kupasuwa kwaviungo inasababishwa na nn
Leo Ni siku ya pili nimeamka kiuno kinauma he Ni kawaida kwa mjamzito kiuno kuuma au na lenyewe Ni tatizo
Aaww. SHUKRAN Kwa elimu juu ya sanda . Swali langu ni Hili: kamba ktk sanda ya like zinakatwa zote kutoka katika majamvi Yale mawili?
Naweza kua na upunguf wa nguv za kiume na nikshilik naenda muda mlef mpak mwenzangu anasema anechok wakat mm sijajua haj yang?