Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ila nasikia maumivu ya kichwa mara kwa mara
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 326
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
je dalili hizo za ukimwi zinachukua muda gan kutowekana zinakua ningapi
Toka nianze kupata hedhi yangu sijawahi pitisha mwezi sijapata lakin saiv nimeona mabadiliko sijapa hedhi yangu mwezi mmoja toka nimeingia mwezi wa pili tarehe 22 sijapata tena na pia nakuwa najisikia mchovu mwili pia kichefuchefu mara mojamoja baada ya kla chakla sijajua hii ni shida gan naomba mnisaidie
Habari nilikuwa nataka kuuliza unaweza pâta mimba n'a umedunga sindano ya uzazi
Iko iv naomba kuliza nimeziona siku zaku tarh 5 nimekutan nammewngu tarhe kumi 11 tareh kumi17 nimeziona tan siku zangu jee shida nini
Habar doctor mimi ninatumia dawa za pressure 2 years sasa lakn 2023 hii moyo unanienda mbio natembea kidogo tu lakn moyo unanienda ressi sana had nipumzkeee ndo nakaa sawa hata kushuka kitandan kwenda choon naskia hivyo nawa kma mtu aliyekimbia sana had nipumzke ndo nakuwa sawa naomba unisaidie
Naomba ushauri nina ndugu yangu ana presha huwa inapanda hadi 190 je nimsaidia je