Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Matunda gani yanayo ongeza damu kwa haraka?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 550
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je nivizur kutumia dawa za kuzuia kutapika?
Habar,ivi naeza kupata mimba ikiwa natumia uzazi wa mpango njia ya kitanzi cha miaka 10?
Lkn me najiulizaga swali korona virus na hiv ni virus kuna maemo wanasemaga virus hatibiki Sasa kama hatibiki why wanaweza kutibu korona afu ukimwi hawawez kutibu ? Embu nisaidie dr kama unauwelewa ju ya hilo jambo nalojiuliza
Habar , samahani nimesoma makala yako ya ugonjwa wa fangasi wa mdomoni na ulimi , kijana wangu namwona anamadoa mekundu kwenye ulimi kama vibalango lakini vidonda hivyo haviumi, dalili hii sikuiona kwenye baadhi ya dalili ukizozitaja, hii nayo ikoje
Doctor napatwa na maumivuu upande wa kulia na hedhi inatoka matone tu
Habari kwa mtu Ambae Ametumia dawa za ARV vizuri na baada ya kupima ikaonekana wadudu wa HIV hawaonekani Tena kwenye kipimo Anaweza kuacha kutimia dawa za ARV?