Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello napenda kuuliza dalili za mwishoni kabisa za mama mjamzito kujifingua
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 319
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahan me nilikua natumia kidonge cha kuzuia mimba lakin juiz nimekutana na mwanaume kabla ya cku za dawa kuisha ila nahic kama hali ya mimba lakin sijapima
inawezekana kutibiwa ukimwi kama umegundua umeambukizwa masaa machache yaliyopita
kuna ukweli gani kuwa mtu mwenye damu yenye wesi sana anaweza kuwa na maambukizi ya VVU?
Swali langu ni Tezi Dume inaweza kuwa sababu ya korodani kuuma na je husababishwa na nini ?
Habari napenda kujua kuhusu dawa za pressure
Mm nina swali nina skia sehemu ya matiti kama vile kichomi maka vitu vina tembea tembea sijui nini na nime pima mimba kama mala mbili sina sasa shida nini yani nina kosa laa Chuchu azi umi lakini nina skia kama vitu vina tembea tembea kwenye matiti ni saidie