Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Hello napenda kuuliza dalili za mwishoni kabisa za mama mjamzito kujifingua
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 319
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari Mtaalam, Mimi ni mwanamke ambaye tumetengana na Mumewangu mwaka mzima.Wiki hii alumina nyumbani na tukashiriki tendon la ndoa. Masaa 5 baada ya kushiriki mwili ULIKUWA MCHOVU hadi nikaanza kulala Orsini hadi sasa ni siku ya tatu mwili ni MCHOVU siwezi Tanya chochote.
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee
Kama tumbo linaunguruma tu je
Kutema mate,kukauka lips,n maumivu y tumbo inatokana n nini?
Maganda ya topetope nayo yanafaida gani na mbegu sake je naweza kusaga juice bila kutoa mbegu na makanda yake
Kwa mwenye ukimwi vipele ni lazima kutokea kwenye ulimi na mdomon kwa pamoja