SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #552 28-02-2023 05:57:10

<p>Jana alikuja alielua &nbsp;mume wangu &nbsp;akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai</p>

JIBU

Talaka inaswihi hata kama hakuna mashahidi. 


Pia talaka inaswihibkwa matamshi ama kwa karatasi ama kwa kuashiria endapo hawezi kutamka.

MASWALI YANAYOFANANA