SWALI

Jana alikuja alielua  mume wangu  akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai

Swali No. 552




JIBU

Talaka inaswihi hata kama hakuna mashahidi. 


Pia talaka inaswihibkwa matamshi ama kwa karatasi ama kwa kuashiria endapo hawezi kutamka.



Kumbukumbu
Swali hili limeulizwa na Muulizaji Kutoka WhatsApp Chat yetu tarehe 28-02-2023-05:57:10 . Jina la muulizaji limehifadhiwa.

Nicheki Nicheki WhatsApp






MASWALI YANAYOFANANA