Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naomba kuuliza je mwanamke akiwa katika sikuzake anaruhusiwa kufunga
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 945
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Nina janaba nifanye nini
Às/alaikum.naomba kuuliza kupagiwa formula ya mgao wa mirathi..marehem kaacha mil 18 kaacha watoto wa kiume 5 na wa kike 6
Ikiwa mke ana Tatizo la kiafya ambalo linapelekea kutoweza kushiriki tendo la ndoa na mumewe. Kuepuka dhambi za kuzini Mumewe akawa anapitisha pitisha uume wake Katika matako ya mkewe bila kugusa tundu la haja kubwa la mkewe akawa anahisi hisi joto mpaka mume anamaliza haja yake (anakojoa). Je, Sheria katika uislamu inasemaje katika suala hilo.
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
Historia ya dini ya kislamu inamfunza nini mwanadamu
Je kama mwanangu ananitolea zakat fitri na Mimi itanilazimu tena kujitolea mwenyewe?