Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je tende faida gan mwilini.?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1027
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu Ni hili,,,
"Thibitisha kuwa khalifa Othman alimrejesha mjomba wake kutoka uhamishoni kwa lengo gani?
Naam shukran na je!alhabib swali langu ni kama ifuatavyo:mke wangu ni mjamzito nyakati ya kujifungua wadaktari wakanambia nitie saini ima nimpate mke wangu akiwa hai au nimpate mwanangu sheria yanihitajia kufanyaje?
Asalam aleyikum warahmatullah wabarakatuh swali langu ni hivi mimi nimeolewa miaka 8 iyopita ila mwaka juzi mwezi12 Allah akanitahin nimepatatihani wa maradhi ya ganzi yamepelekea kutokutembea mama zamani,mume wangu ameniuguza mpaka mwezi wa 7 mwaka jana akanitelekeza yani aniudumii mimi wala mtoto na nikimpigia simu anaongea hovyo tu nimeamua kumdai talaka ataki kunipa lakini hivi karibuni ameniatamkia maneno Machafu kua ataki kunipa talaka kwakua ajawahi kunioa na ajanopenda hata siku1 mimi nikampiga mshenga na shahidi nao wakajaribu kizungumza nae akawakatia Simu swalilngu je,naweza kujivua kwenye ndoa hii?au nifanyeje mpaka nipate haki yangu ya talaka
Nataka kujua nini maan ya talaka na edaa
Kuna Jambo lini ni tatiza ya kutofautisha ibada naعادي kwa mfano kula chakula hii ni ibada Au عادي ?
Nilikuwa nahitaji mafundisho zaidi kwenye suala la kuswali na dua zake ili niweze kuswali kikamilifu na kusimamisha swala bila kumkwaza allah