Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je tende faida gan mwilini.?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1027
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani sheikh wangu nilikuw naomba kujua swalat haja huwa inaswaliwa wkt gani na ina rakaa Ngap?
nauliza ya kwamba kama simfaham dua za swala za usiku nafanyaje kwani huwa naswali lakini naswali kawaida tu na hvi nimetoka kuswali.
Je inaruhusiwaa kuswali ikiwa kuna baadhi ya dua ambazo yapaswa kuzitumia ndani ya swala na haujazikaririi vizurii
Jana alikuja alielua mume wangu akawaambia watu kua nimemuacha s mke wangu je nataka kujua ikiwa ni lazima akicha kue na mshahid wa kweli je hapo talaka imepita na kama imepita anafaa kunipa karatas au haifai
Kuna mafunzo ambayo waislamu wanayapata kutokana na historian ya maimamu wa fiqhi
Assalamualeykum. Ukiswali rakaa ya 3+ 4 unasoma sura gani baada ya AIHAMDU.