Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je tende faida gan mwilini.?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1027
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalaam aleykum naomba kuuliza mama yake marimu anaitwa nani?
Assalamualaikum naomab kujua kivaaa suali ukavuka kufundo ch a mguuni ni sawa
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Naomba kueleweshwa jinsi ya kuswali taraweehe na jinsi ya kunuia maana naswli nyumbani
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Mke atahitaji kukaa eda kwa muda gani nyumbani.na yapi anakatazwa mwanaume kwa kipindi hiko cha eda?.baada ya muda wa eda kuisha na hakuna maelewano je ruksa kwake kuondoka na ndoa kuvunjika??