MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI
Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
UGONJWA WA MALARIA NI NINI?
Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani. Malaria ni katika maradhi yanayopatikana katika maeneo yenye joto, hususani maeneo yenye uoto wa kitropiki. Miongoni mwa maeneo ambayo yanasumbuliwa zaidi na malaria ni bara la Afrika.
Inakadiriwa kuwa mila mwaka watu milioni 210 (210,000,000 wanapata malaria kila mwaka na kati ya hao watu laki nne na elfu arobaini (440,000) wanakufa kwa ugonjwa huu kila mwaka na wengi wao ni watoto walio chini ya umri wa miaka mitano.
Mpaka sasa bado hakuna chanjo ya malaria ijapokuwa wataalamu wa afya wanajitahidi kuitafuta chanjo yake. Miili inaweza kutengeneza njianjo yao wenyewe japo ni ya muda na sio ya kuzuia malaria kabisa isipokuwa inaweza kupunguza athari za ugonjwa huu. Na hii ndio maana matu anaweza kuishi na malaria kwa muda mrefu bila ya kuumwa hasa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 Madrasa kiganjani ๐2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐3 Bongolite - Game zone - Play free game ๐4 kitabu cha Simulizi ๐5 Kitau cha Fiqh ๐6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Saratani ya tezi dume (Prostate Cancer): Dalili za mwanzo kwa wanaume.
Saratani ya tezi dume ndiyo saratani ya kawaida zaidi kwa wanaume duniani kote. Ingawa inaweza kutisha, saratani hii inatibika vyema ikiwa itagunduliwa katika hatua za mwanzo. Makala haya yanalenga kutoa elimu muhimu kuhusu dalili za mwanzo, mambo yanayoongeza hatari, na umuhimu wa wanaume kufanya uchunguzi wa mara kwa mara ili kulinda afya zao.
Soma Zaidi...Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
Soma Zaidi...Matibabu ya vidonda vya kinywa (Canker sores) na nini cha kula.
Vidonda vya kinywa, vinavyojulikana kitaalamu kama aphthous ulcers au canker sores, ni changamoto ya kawaida inayoweza kusababisha maumivu makali na usumbufu wakati wa kula au kuzungumza. Blogu hii inatoa mwongozo wa kina kuhusu mbinu bora za matibabu, vyakula vya kuepuka ili kupunguza maumivu, na vyakula bora vya kuimarisha kinga ili kusaidia uponyaji wa
Soma Zaidi...Watu walio hatarini kupata ugonjwa wa pumu
Kila mtu anaweza kupata ugonjwa wa pumu, hata hivyo kuna ambao wapo hatarini zaidi kupata pumu.
Soma Zaidi...Je na kwa upande wa mwanaume kuumwa upande wa kushoto wa tumbo kuna shida gani?
Maumivu ya tumbo upande wa kushoti, kwa mwanamke huwenda ikawa ni ujauzito ama shida nyingine za kiafya kama tumbo kujaa gesi, kukosa choo na kadhalika. Sasa vipi kwa wanaume ni ipi hasa sababuรขยโ
Soma Zaidi...Walio kwenye hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi kwenye mifupa,
Soma Zaidi...