NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA

Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.

NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA

NINI CHANZO CHA MALARIA?

Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles. Kuna aina zaidi ya 2000 za mbu lakini katika aina hizi aina moja tu ndio inayoweza kubeba vimelea hivi vinavyoweza kusababisha malaria. Na pia yapo maradhi mengine ambayo husambazwa na aina nyingine za mbu. Maradhi hayo ni kama matende na ngiri maji.

 

Mbu aliyebeba vimelea vya malaria akimng’ata mtu anamuachia vimelea vile. Vimelea hivi vinapoingia ndani ya mwili viunakimbilia kwenye ini ambapo huko ndipo hukaa na kukuwa. Pindi vikikomaa vinatoka kwenye ini na kuelekea kwenye damu. Vinapofika kwenye damu vinakwenda kushambulia seli hai nyekundu za damu. Na hapo sasa mgonjwa ndipo ataanza kupata dalili za malaria..

 

Inachukuwa takribani wili ama na zaidi kwa vimelea hivi kuanza kuonesha dalili kwa mtu. Pia upo uwezekano vimelea hivi vikakaa hata mwaka ndipo vikaanza kuonyesha dalili. Na ndio maana ni vyema kupima afya mara kwa mara ili kuweza kuondoa vijidudu hivi kwenye miili yetu hata kabla ya kuanza kuonyesha dalili.

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1233

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰4 web hosting    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Je pumu inaweza kusababishwa na virusi ama bakteria?

Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi.

Soma Zaidi...
Dalili za madhara ya figo

Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo.

Soma Zaidi...
Ujue Ugonjwa wa homa ya ini yenye sumu.

Homa ya ini yenye sumuร‚ย ni kuvimba kwa ini lako kutokana na kuathiriwa na vitu fulani ambavyo umeathiriwa navyo. Homa ya ini yenye sumuร‚ย inaweza kusababishwa na pombe, kemikali, dawa za kulevya au viongeza vya lishe.

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa coma

Coma ni hali ya kupoteza fahamu kwa muda mrefu ambayo inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali Jeraha la Kichwa, Kiharusi, Uvimbe kwenye ubongo, ulevi wa dawa za kulevya au pombe, au hata ugonjwa wa msingi,

Soma Zaidi...
MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI

Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.

Soma Zaidi...
Tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu (gangrene)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre

Soma Zaidi...
Dalili za gonorrhea

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea

Soma Zaidi...
Dalili za uvimbe kwenye kinywa

Post hii inahusu dalili za uvimbe kwenye kinywa ambapo kitaalamu hujulikana Kama oral candidiasis Uvimbe kwenye kinywa husababisha vidonda vyeupe, kwa kawaida kwenye ulimi au mashavu ya ndani. Wakati mwingine uvimbe kwenye kinywa huweza ku

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.

Soma Zaidi...