Mfano wa kitu kinachoweza kumaba mtoto kooni ni kama chagula kigumu, pesa ya sarafu, kijiwe na mengineyo. Endapo hili litataokea msaada wa haraka unahitajika kwa ulazima.
Kumpa huduma ya kwanza mtoto aliyekabwa na kitu kooni ni muhimu ili kumsaidia kupumua na kuondoa kitu hicho kwa haraka. Hapa kuna hatua za kufuata:
Ikiwa vigongo mgongoni havikufanikiwa, mgeuze mtoto na umweke mgongoni kwenye mkono wako huku kichwa kikiwa chini kuliko kifua.
Tumia vidole viwili kubinya kifua chake katikati ya maziwa, kwa haraka na nguvu kiasi, mara 5.
Rudia hatua hizi hadi kitu kitoke au mtoto apate msaada wa kitaalam.
Simama nyuma ya mtoto, weka mkono mmoja juu ya kitovu chake, kisha mkono mwingine uufunge juu ya ule wa kwanza.
Vuta kwa haraka na nguvu juu na ndani kuelekea kwenye mbavu mara 5.
Rudia hatua hizi hadi kitu kitoke au msaada wa kitaalam ufike.
Tahadhari: Usitumie vidole kujaribu kuvuta kitu kilicho kooni isipokuwa kama unaweza kukiona wazi na ni rahisi kufikia, kwani unaweza kukisukuma zaidi kooni.
Umeionaje Makala hii.. ?
Makala za afya zilizopata kusomwa zaidi kutoka bongoclass kitengo cha afya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi utumiaji wa pombe na sigara pamoja na madawa katika jamii.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi juu ya vyumba vidogo vidogo ambavyo Vimo kwenye chumba cha upasuaji, ingawa chumba cha upasuaji ni kimoja ila kuna vyumba vingine vidogo ambavyo vinatumika kwa kazi mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Katika somo hili tutajifunza ni Kwa namna gani afya Yako inaweza kuelezewa kupitia kinyesi
Soma Zaidi...