Postei hizi inahusu zaidi mtindo mzuri wa maisha, yaani mtu ale ki vipi au afanyeni nini ili kuweza kuboresha afya yake.
1. Fanya mazoezi mara kwa mara walau dakika ishirini kila siku.
2.epuka vyakula vyenye mafuta kwa wingi.
3. Kunywa maji mengi ya kutosha hasa ya uvuguvugu.
4. Usijizoeze kuwa na mawazo ya mara kwa mara au kuwa na chuki kwa mda mrefu.
5.kuwa na marafiki wengi na epuka matumizi ya vileo vikali na uvutaji wa madawa ya kulevya
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Endapo tezi dume haitatibiwa ama itachlewa kutibiwa basi mtu anaweza kupata madhara. katika post hii utakwenda kuyajuwa madhara ya tezi dume kwenye Mwili
Soma Zaidi...