SURA YA KWANZA

Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Unashika kichwa unahisi kuna damu zinatoka puanin na kichwa kinauma sana. Nini kime tokea? Unajiuliza bila ya majibu. Je! kuna chochote unakumbuka?

Hapana     Ndio