17.
17.John na Ngazi
John alikuwa akifanya kazi ya kupandisha mizigo juu. Alikuwa akkipanda kwa kutumia ngazi yenye urefu wa futi 24. Siku moja mvua ilinyesha hivyo ikawa ngazi inateleza sana.
Wakati anapanda kwa bahati mbaya akaanguka kutoka kwenye ngazi mpaka chini. Jambo la kushangaza hakuumia hata kidogo. Unadhani hii imewezekanaje?
Jibu
Ni kwa sababu alianguka kwenye kidato cha kwanza cha ngazi, naani chini kabisa.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 497
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 Kitabu cha Afya
Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 16
9. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 03
Tatua mzozo wa NI NANI MUUAJI? Soma Zaidi...
SIRI
Hapana mpaka sasa hautambui chochote kuhusu kilichotokea. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
SIRI
Kutoka kwenye usingizi mzito unaamka, Haujui nini kimetokea (uenda ukawa umepoteza kumbukumba). Soma Zaidi...