Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga

Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga

Download Post hii hapa

Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga



Faida za mbegu za maboga

  1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
  2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
  3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
  4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
  5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
  6. Hudhibiti kiwango cha sukari
  7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
  8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
  9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
  10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo


                   

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Dini File: Download PDF Views 450

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰2 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana: