picha

Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga

Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga



Faida za mbegu za maboga

  1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
  2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
  3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
  4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
  5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
  6. Hudhibiti kiwango cha sukari
  7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
  8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
  9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
  10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: General Main: Post File: Download PDF Views 952

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 ai web app     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Kitabu Cha Dua 120

Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe vyote.

Soma Zaidi...
NGUZO ZA IMAN

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...