Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga

Faida za kiafya za kula Mbegu za maboga



Faida za mbegu za maboga

  1. mbegu za maboga zina virutubisho kama protini, fati, vitamini K na madini ya zink, shaba, manganese na manganessium.
  2. Zina antioxidant ambazo hulinda seli dhidi ya uharibifu
  3. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
  4. Huimarisha afya ya korodani na kibofu
  5. Husaidia kuboresha afya ya moyo,
  6. Hudhibiti kiwango cha sukari
  7. Ni nzuri kwa afya ya mifupa
  8. Huzuia tatizo la kuziba kwa choo
  9. Huongeza wingi wa mbegu za kiume
  10. Husaidia katika kupata usingizi mwororo


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Dini File: Download PDF Views 496

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana: