Chemsha bongo namba 10
7.
Chemsha bongo 10
![]()
![]()
7.Tujikumbushe kidogo na hii
Mtu mmoja alikuwa akitokea shmba. Kwa bahati mbaya mvua kubwa akamnyeshea. Akiwa hana mwavuli wala jacketi ama kiti chochote cha kumkinga na mvua. Hivyo alitota sana. Jambo la kushangaza alitota mwili mzima lakini hata nywele yake moja kichwani haikutota. Unadhani inawezekanaje?
Jibu
Kwa sababu alikuwa na kipara.
Umeionaje Makala hii.. ?
Author:
Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23
Topic: Chemshabongo
Main: Post
File: Download PDF
Views 2806
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 web hosting 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii
👉1 ai web app 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 web hosting 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Dua za Mitume na Manabii