7.
7.Tujikumbushe kidogo na hii
Mtu mmoja alikuwa akitokea shmba. Kwa bahati mbaya mvua kubwa akamnyeshea. Akiwa hana mwavuli wala jacketi ama kiti chochote cha kumkinga na mvua. Hivyo alitota sana. Jambo la kushangaza alitota mwili mzima lakini hata nywele yake moja kichwani haikutota. Unadhani inawezekanaje?
Jibu
Kwa sababu alikuwa na kipara.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Chemshabongo Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1101
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Simulizi za Hadithi Audio
👉4
kitabu cha Simulizi
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Toroka gerezani
utaokoka vipi gerezani? Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 26
19. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 18
21. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 22
4. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 06
25. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...