7.
7.Tujikumbushe kidogo na hii
Mtu mmoja alikuwa akitokea shmba. Kwa bahati mbaya mvua kubwa akamnyeshea. Akiwa hana mwavuli wala jacketi ama kiti chochote cha kumkinga na mvua. Hivyo alitota sana. Jambo la kushangaza alitota mwili mzima lakini hata nywele yake moja kichwani haikutota. Unadhani inawezekanaje?
Jibu
Kwa sababu alikuwa na kipara.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 488
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Kitabu cha Afya
Chemsha bongo namba 10
7. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 19
Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 05
Ashumu upo kwenye chumba kimoja kikubwa sana, hakina milango wala madirisha. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 09
16. Soma Zaidi...
game
Karibu kwenye uwanja wa Game. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 24
13. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 08
20. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 25
26. Soma Zaidi...
CHEMSHABONGO NA BONGOCLASS
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...
Chemsha bongo namba 21
15. Soma Zaidi...
KUMTOROSHA MFUNGWA GEREZANI
Chemshabongo, Je? ungelikuwa ni w ewe ungetorokaje gerezani? Soma Zaidi...