dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

dalili za mimba changa ndani ya wiki moja

Nataka kujuwa kuhusu dalili za mimba changa ndani ya wiki moja



Namba ya swali 064

Dalili za mimba ndani ya wiki moja zipo nyingi Ila utambuwe kuwa sio rahisi kuziona dalili za mimba changa ndani ya wiki moja. Kwa sababu mwili haujapata mabadiliko ya kutosha kuonyesha dalili.

Hapa nitakutajia Baadhi tu ya dalili ambazo huwenda zikaonekana mwanzoni mwa ujauzito. Huwenda zikaonekana ndani ya wiki moja ama zaidi.



Namba ya swali 064

Tafadhali nitajie dalili hizo, maana ninapata maumivu ya Tumbo toka nilipofanya tendo la ndoa.



Namba ya swali 064

Dalili za mimba changa ndani ya wiki moja ni kama zifuatazo

  1. Kutokwa na matone ya damu machache ukeni
  2. Kichwa kuuma ama kuwa chepesi siku chache toka uliposhiriki tendo la ndoa
  3. Kupatwa na kizunguzungu cha ghafla
  4. Maumivu ya tumbo kwa chini
  5. Joto la mwili kuongezeka
  6. Kuongezeka kwamajimaji ukeni
  7. Kuuma kwa matiti


Dalili nyingine za mimba changa
  1. Kukosa hedhi
  2. Kichefuchefu
  3. Kuwa na mabadiliko badiliko kwenye hisia mara unachukia hiki mara unapenda hiki
  4. Kukojoa mara kwa mara
  5. Mabadiliko ya rangi za chuchu



Namba ya swali 064

Ahsante kwa maelezo



Namba ya swali 064

karibu tena



Namba ya swali 064

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2406

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Upungufu wa homoni ya estrogen
Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Soma Zaidi...
Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.
Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.

Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto.

Soma Zaidi...
Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito
Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake

Soma Zaidi...
Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Soma Zaidi...
Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba.
Fahamu ugonjwa wa kifafa cha mimba.

Post hii inahusu zaidi Ugonjwa wa kifafa cha mimba ambapo kwa kitaalamu huitwa eclampsia, utokea pale ambapo Mama anapokuwa na degedege wakati wa mimba na baada ya kujiunga.

Soma Zaidi...
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume

Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad

Soma Zaidi...