HISTORIA YA MTUME AL-YASA’A(A.S)
Mtume Alyasa’a(a.
HISTORIA YA MTUME AL-YASA’A(A.S)
Mtume Alyasa’a(a.s) ametajwa mara moja tu katika Qur’an na kubainishwa kuwa ni miongoni mwa watu waliofadhilishwa na Mwenyezi Mungu.
“Na (tukamwongoa) Ismail na Alyasaa na Yunus na Lut. Na wote tukawafadhilisha juu ya walimwengu (wote katika zama zao)” (6:86).
Kufadhilishwa kwa Mitume hawa hakukutokana na nasaba zao wala zama za kuletwa kwao duniani. Bali kwa ujumbe waliopewa na juhudi waliyoifanya katika kuutekeleza ujumbe huo na kuufikisha kwa kaumu zao. Haya yanathibitishwa na aya zinazofuatia:
“Hao ndio tuliowapa vitabu na hukumu (Ilmu) na utume. Kama hawa (makafiri) wakiyakataa hayo, basi tumekwisha yawekea watu wasioyakataa” (6:89).
“Hao ndio ambao Mwenyezi Mungu amewaongoa, basi fuata Uongozi wao” (6:90).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 ai web app 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Historia ya kujengwa kwa Alkabah (Maka)
Kama tulivyoona katika maisha ya Mtume Ibrahim(a.
Soma Zaidi...Sababu za makafiri wa kiqureish kuupinga ujumbe wa uislamu
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...HISTORIA YA KUJENGWA UPYA KWA AL-KA'BAH (NYUMBA TUKUFU YA ALLAH)
KUJENGWA UPYA KWA AL-KA’ABAHItambulike kuwa Al-ka’abah ndio mjengo wa kwanza kujengwa duniani.
Soma Zaidi...Uchaguzi wa Omar (Umar) kuwa khalifa wa Pili baada ya Mtume
Uchaguzi wa ‘Umar bin Khattab kuwa Khalifa wa Pili.
Soma Zaidi...