DARSA ZA FIQH

Karibu tujifunze fiqh na jinsi ya kufanya ibada katika Uislamu

Suna za udhu
SUNA ZA UDHU

Somo hili linaeleza suna zinazopendeza kutekelezwa wakati wa kutia udhu. Ingawa si za lazima kama nguzo za udhu, lakini zikifanywa huongeza thawabu na kukamilisha ibada ya udhu.

Nini Hutumika Kujitwaharishia
NINI HUTUMIKA KUJITWAHARISHIA

Somo hili linaeleza kwa kina vifaa vinavyotumika kwa ajili ya twahara ya kisheria, vikiwemo maji safi (الماء الطهور), udongo (التراب الطاهر), na sifa zinazotakiwa kwa kila aina.

Maana ya Uislamu na Nguzo Zake
MAANA YA UISLAMU NA NGUZO ZAKE

Somo hili linaanza kwa kuelezea maana ya Uislamu kama mfumo kamili wa maisha unaojengwa juu ya imani na utiifu kwa Mwenyezi Mungu (Allah). Pia, tutazielewa nguzo tano za Uislamu ambazo ndizo msingi wa dini hii tukufu. Mwishoni, tutajifunza maana ya neno Fiqh ambalo ndilo msingi wa mfululizo wa darsa hizi. Hili ni somo la msingi kwa yeyote anayetaka kuelewa dini ya Kiislamu kwa ufasaha na kwa mpangilio wa kielimu.