Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

VYAKULA VYA KUOBGEZA NGUVU ZA KIUME.
Tatizo la nguvu za kiume, limekuwa likisumbuwa vijana wengi sana, na hii ni kutokana na namna ambavyo vijana wengi wanaishi. Miongoni mwa matendo na tabia za vijana huwenda ikawa ni sababu tosha ya kuwa na tatizo hili. Yapo mabo mengi sana yanaathiri nguvu za kiume. Pia unaweza kubadili utaratibu wa maisha unaoishi na mambo kiu wasa baada ya muda.



Je na wewe ni mwenye kukabiliwa na tatizo la nguvu za kiume. Je unaishia bao moja kisha basi, ama unacheza ndani ya dakika 3 ama hufiki kisha basi? Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa yutakwenda kunagalia vyakula vizuri kwa kuongeza nguvu ya kuime. Pia tutaona maadui zako wanaoweza kuathiri nguvu za kiume. Kama utakuwa na maoni ama maswali zaidi, tuwachie hapoo chini:-



Mambo yanayopunguza nguvu za kiume
1.Kupiga punyeto
2.Kuwa na misongo ya mawazo
3.Kuwa na uwoga wakati wa kushiriki tendo
4.Matumizi ya vidonge vya kuongeza nguvu za kiume
5.Kuwa na maradhi kama kisukari na presha ya kupanda
6.Umri
7.Vyakula
8.Kutofanya mazoezi



Njia za kuongeza nguvu za kiume
1.Badili mfumo wa vyakula vyakula salama kwa nguvu za kiume.
2.Fanya mazoezi ya mara kwa mara
3.Punguza mishongo ya mawazo
4.Jiamini unapoliendea tendo
5.Kama unatumia vidonge vya kuongeza nguvu za kiume, jaribu kupunguza matumizi ama kuacha
6.Wacha kujichuwa ama punguza
7.Jitahidi kudhibito kisukari ama presha ya kpanda.



Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.
1.Maharagwe ya soya
2.Mbegu za maboga
3.Karanga
4.Korosho
5.Samaki
6.Nyama
7.Kuku
8.Matunda epo
9.Mboga za apricot na brocol
10.Kabichi
11.Karoti
12.Kitunguu thaumu
13.Mimea jamii ya kunde
14.Kitunguu maji
15.Pilipili kali
16.Viazi vitamu
17.Nyanya
18.Mayai
19.Mbegu za chia
20.Chokoleti
21.Siagi
22.Asali
23.Tangawizi
24.Maji





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 3184

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

magonjwa na lishe

DARASA LA AFYA MAGOJWA YANAYOHUSIANA NA VYAKULA 1.

Soma Zaidi...
Faida za kula Papai

Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za viazi vitamu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin

Soma Zaidi...
Faida za kula Zabibu (grape)

faida za kula tunda zabibu kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...