Watu waliomshambulia sayidna ali
Waliomshambulia Sayidna Ali na kumuuwa walikuwa ni makhawariji. Tafadhali soma makala hapo chini ufahamu zaidi bofya hapa
Mtume alifurahia ushauri wa Nani katika Vita vya uhudi
Ungefaganua kidogo swali, ulikuwa ushauti katika maswala gani?
Katika uchimbaji wa handaki
Hivi havikuwa vita vya uhudi ila vilikuwa ni vita vya handaki
Aliyetoa ushauri wa kucjimba mahandaki alikuwa ni Salman al Fatis, Hivyo Mtume aliipenda rai hii ya kuchimba Mahandaki
Nyuma Endelea
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Baada tu ya Mtume(s.
Mbinu walizotumia Makafiri wa Kiqureish katika kuupinga Uislamu Makkah.
Kwa tabia zake njema Yusufu(a.
Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu.