je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.lakin wew ukawa hauna maambukizi unaweza ukaambukinza hao fangasi???



Namba ya swali 060

Aina ipi uliyokusudia



Namba ya swali 060

Ya fangasi wa mdomn ambao huwapata hasa wale weny MAAMBUKIZI YA HIV



Namba ya swali 060

Yes unaweza kupata hawa fangasi. Ila hili halimaanishi utaumwa kama yule aliyekupa. Ni kwa sababu ili fangasi wasababishe madhara lazima wakutane na mazingira wanayoyataka kule wanakokwenda



Namba ya swali 060

Ooh sawa...asante kwakunifahamisha..na pia kama mtu akapatwa natatizo la kolodani moja kuvimba nakujiskia maumivu niugonjwa gani na pia husababishwa nan



Namba ya swali 060

Ok Kwa maimivu hayo sio shida sana kiafya kama sio makali sana kiasi cha kushindwa kufanya shughuli zako, na yataondoka hivi punde. Zifuatazo zinaweza kuwa sababu
1. UTI 2.
Shughuli
3. Kama mishipa i.ejibana hasa wakati wa kulala, ama kufanya shighuli
4. Huyokea pia kama kuna bakteria



Namba ya swali 060

Nilipoend hospital nimepew dawa ya piroxicam zakunya nasindano 5 asa nikawa cjui tatiz limetokana nann na linaitwaje ndoman nikajalibu kufatilia gugo nandpo nilipo pata mawasilian nawwe



Namba ya swali 060
-->
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1474

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za Ugonjwa wa ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa ya jicho

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo

Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik

Soma Zaidi...
je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?

Dalili za minyoo zipo nyingi kama kuumwa na tumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kukosa hamu ya kula, kupata choo chenye uteute na kupunguwa uzito. je kukohoa kunaweza kuwa ni dalili ya minyoo?

Soma Zaidi...
Dalili za za kuwepo kwa maambukizi chini ya kitovu

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia virusi vya ukimwi

Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari ambao husababisha kupoteza fahamu ( coma ya kisukari)..

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kisukari unaopelekea kukosa fahamu ni tatizo linalohatarisha maisha kisukari ambalo husababisha kupoteza fahamu. Ikiwa una kisukari, sukari ya juu ya damu (hyperglycemia) au sukari iliyopungua sana (hypoglyc

Soma Zaidi...
dalili za ukimwi huchukua muda gani?

Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi.

Soma Zaidi...
Matibabu ya fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu matibabu ya fangasi

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa maji mwilini.

Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.

Soma Zaidi...