picha

nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?



Namba ya swali 048

Wewe ni mwanaune au mwanamke?



Namba ya swali 048

Mwanaume

mwanzo mgongo na kichwa vilikuwa vinauma kwa sasa ni miguu na mikono nguvu sina mpaka natetemeka



Namba ya swali 048

Umepima UTI? na TYPHOD, ama ulishawahi kupata TB?



Namba ya swali 048

bado sijaenda hospital natafta hela lakini na tumbo linanyonga sana pamoja na mshipa chini ya kitofu unasumbua nisaidie kaka



Namba ya swali 048

Kaka kwanza ungekwenda pata vipimo, maana tumbo na mgongo huchanganya mambo mengi, bila vipimo ni ngumu sana kutambuwa vinginevyo onana na daktari yeyote ana kwa ana, huwenda akatambua zaidi kama hujapanga kwenda hospitali



Namba ya swali 048

sawa kaka



Namba ya swali 048

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3547

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 web hosting     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 ai web app     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Dalili za maambukizi kwenye milija(fallopian tube)

Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye milija (follapian tube) kwa kitaalamu huitwa salpingitis, ni maambukizi kwenye milija ambayo husababishwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.

Soma Zaidi...
Matumizi ya dawa za kulevya na athari zake kwenye ubongo.

Dawa za kulevya hazibadili tu tabia ya mtu, bali zinasababisha mabadiliko ya kudumu kwenye muundo na utendaji kazi wa ubongo. Makala haya yanachambua jinsi dawa hizi zinavyoiba mfumo wa furaha wa ubongo (reward system), na jinsi matumizi yake yanavyoweza kusababisha madhara ya kiakili na kimwili ambayo ni vigumu kuyatengua.

Soma Zaidi...
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)

sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy

Soma Zaidi...
Dawa za kupunguza uzito: Je, zina faida au madhara?

Dawa za Kupunguza Uzito: Je, Zina Faida au Madhara? Mwongozo wa Kitaalamu

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...