Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!

Habari DoktaNikuulize kituu?

Download Post hii hapa

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!

Habari Dokta

Nikuulize kituu?



Namba ya swali 010

Uliza, tafadhali...



Namba ya swali 010

Kwanini nikimaliza kufanya mapenzi na mume wangu anawashwa sana!!!!!



Namba ya swali 010

Je mnatumia kondomu



Namba ya swali 001

kondom hatutumiii



Namba ya swali 001

Kuna maumivu yeyote unapata kama wakati wa kukojoa au kuna mabadiliko yeyite kwenye majimaji ya ukeni



Namba ya swali 001

Hapana sio mimi, anayewashwa ni mumwe wangu



Namba ya swali 001

Aaanha Ok, samahani sikukuelewa vyema hapo mwanzo



Namba ya swali 001

Kuna uwezekano wa mashambulizi ya vijidudu vya maradhi. Mwambie akapime UTI na acheki kama atakuwa na fangasi kwenye ya uume wake. Na ikiwezekana mkapime wote maana huwenda kuna bakteria au fangasi mnabadilishana mnapofanya tendo la ndoa.



Namba ya swali 001

Shukran



Namba ya swali 001

Endelea kuwa pamoja nasi
www.bongoclass.com



Namba ya swali 001

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1076

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Maandalizi ya mama mjamzito kwa ajili ya kujifungulia.
Maandalizi ya mama mjamzito kwa ajili ya kujifungulia.

Postii inafundisha maandalizi ya mama kwa ajili ya kujifungulia hii Ni muhimu Sana kwa wale ambao hawajawahi kujingua Ni mara yao ya kwanza wanatakiwa kujua na kuelewa vifaa na mahitaji kujifungulia na kwa wale wanaohudhuria clinic huwa wanafundisha.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kushusha homoni za kiume.
Jinsi ya kushusha homoni za kiume.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.

Soma Zaidi...
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa

Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote

Soma Zaidi...
Nini husababisha maumivu ya uume
Nini husababisha maumivu ya uume

Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.

Soma Zaidi...
Siku za kupata ujauzito
Siku za kupata ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito

Soma Zaidi...
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake
Sababu za kuharibika kwa ujauzito na dalili zake

Dalili za kuharibika kwa ujauzito na dalili za kuharibika kwa ujauzo

Soma Zaidi...
Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango
Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango

Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana

Soma Zaidi...
Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90  Kuna madhara?
Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90 Kuna madhara?

Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.

Soma Zaidi...