Simulizi za Hadithi EP 10 Part 6: Ndoa ya pili

Simulizi za Hadithi EP 10 Part 6: Ndoa ya pili

Muendelezo....

Download Post hii hapa

NDOA YA UTATA KISIWANI

Mfalmee wa serendib alipouona msafara ule alivutiwa sana. Alitamani kijana yule awe mkwe wake. Mfalme aliamini kuwa mtoto wake hata kataa. Lakini mfalme alikuwa akijiuliza je kama ni masikini si mawaziri watanicheka. Mfalme alikuwa anatarajia awe mtoto wa waziri ama awe ni mtoto wa tajiri yeyote angalau aendane na mwanaye. Sasa kwa kuwa mfalme leo yupo pale hakuna haja ya kuomba ruhusa kwa mlolongo. Mke wa Kamaralzamani aliyejifanya ndie kamaralzamani mwenyewe akapiga goti mbele ya mfalme na kujieleza kuwa yeye n mtoot wa mfalme wa peshia naomba ruhusa ya kakatiza kwenye kisiwa chako.

 

 

Mfalme alistaajabi kwa kuraha kuona sasa amepata mkwe. Kumbe ni mtoto wa mfalme. Akaagiza aletewe kijana huyo kwenye kumbi za kifalme wapate chakula pamoja. Halikuwa jambo gumu kwani watu wote walizania bibie nurat ni yupo kwenye gari la farasi na huyu ndie kamaralzamani mwenyewe. Katika ukumbi wa kunywea chai, binti wa mfalme wa Serendib naye aliitwa kwa siri kuja kunawisha wageni. Lengo la mfalme ni kutaka kukutanisha watu hawa. Basi viti vikapangwa vyema, wageni wakaingia kwa ajili ya chakula. Bibie Nurat akawadanganya watu wake walinde gari la farasi na haruhusi mtu kuchungulia kwani mtoto wa Mfalme yumo mule.

 

 

Katika ukumbi wa chai, binti mfalme wa serendib Naira Khan alishindwa kutembea kwa mshangao. Hivi kumbe kuna wanaume wazuri hivi. Alishangaa sana, aliamuwa kurudi ndani kwa haraka na kuanza kujiwazia. Baba aligunduuwa hali hiyo na kuomba wageni wake waendelee. Moja kwa moja akaenda kwa bint yake na kumwambia “Mwanangu Naira nimekuletea mchumba je umekubwali”. naira Khan alimrukia baba yake na kumkumbatia kwa furaha “baba nimekubali nataka hata iwe sasa hivi”. baada ya mazungumzo mfalme akarudi kwa wageni wake. Chai ilipoisha akaomba kuzungumza na kamaralzamani faragha. Mazungumzo yako yalikuwa ni mfalme kumuomba Kamaralzamani awe mkwe wake. Kila bibie Mtaotao wa Sulatania lipokuwa anajaribu kukataa alishindwa. Hovyo kumsitiri mume wake aliubali. Wakati huo mfalme hakujuwa kabisa kuwa anayeongea nae ni mwanamke na si mwanaume.

 

 

Hali ikawa hivyo , Nurat mtoto wa Sultani wa nchi za chini alipata awazo kuwa alipopote;lea mume wake sio mbali sana na pale. Hivyo akiwa na madaraka maeneo yale itakuwa ni rahisi kwake limtafira mume wake popote alipo. Maana mumwe wake asingeweza kwenda Peshia bila ya kupita pale. Basi ilibidi afanye makubaliano na nairat mtoto wa mfalme wa Srendib. Alimueleza kila kitu na kumwambia kuwa jinsi anavyomuona yeye ndivyo alivyo Kamaralzamani. Kuthibitisha kauli hii watu wote pale walikuwa hawajui kuwa Kamaralazamani mwenyewe hayupo pale. Basi walifanya makubalianao ya doa kuwa Nairat atakuwa mke mdogo pindi kamaralzamani atakapopatikana, pia walikubaliana kuwa kwa pamoja watalinda siri ile mpaka atakapokuja mwenyewe. Walikubaliana mambo mengine kadhaa.

 

 

Basi baada ua kwenda Peshia walibalia pale Serendib na kufanya nmdoa ya kifahari kubwa sana katika kamaralzamani wa uongo na Nairat bint mfalme wa Serendib. Watu mbalibali walihudhuria katika shnguli hii ya harusi. Ni miezi 6 sasa imepita bila ya taarifa zozote za Kamaralzamani. Mfalme wa Serendib akaanza kumuuliza mwannembona mapaka sasa hawajapata mtoto. Maswali haya yalikuwa yakimuumiza sana lakini aliheshimu makubaliano yao. Kwa upande wa kamaralzamani alikuwa muadilifu na mtiifu sana wa yule mzee anayeishi kwake. Aliweza kufaya kazi zotezakutunza bostani la matunda na kwenda kuuza matunda.

Siku moja akiwa kwenye bostani ghafla akaona kunguru wawili wakipigana. Ilikuwa ni ugomvi mkubwa sana ambao hakupatapo kuuona. Kunguru wale walipigana hata mmoja akafariki. Alipofariki yule mmoja akawa anamtoboa mwenzie

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Mankaa image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Simulizi za Hadithi Main: Burudani File: Download PDF Views 456

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Simulizi za Hadithi EP 4 Part 1: Hadithi ya chongo watatu, watoto wa mfalme na wanawake wa Baghdad.
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 1: Hadithi ya chongo watatu, watoto wa mfalme na wanawake wa Baghdad.

Skmulizii hii pia imetoka kitabu cha kwanza cha HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 10: Hadithi ya Ndoto ya binti mgonjwa wa mfalme
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 10: Hadithi ya Ndoto ya binti mgonjwa wa mfalme

Skmulizi hii ipo ndani ya kitabu cha kwanza kwenye hadithi za HALIF LELA U LELA......

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 2 Part 3: Hadithi ya mzee wa pili na mbwa wawili weusi.
Simulizi za Hadithi EP 2 Part 3: Hadithi ya mzee wa pili na mbwa wawili weusi.

Simulizi za HALIF LELA U LELA ni nziri sana tuwe pamoja kusikiliza kisa cha mzee wa pili na mbwa wawili weusi...

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 6 Part 12: Tabibu asimulia hadithi
Simulizi za Hadithi EP 6 Part 12: Tabibu asimulia hadithi

Hii ni hadithi iliyopo ndan ya kitabu cha pili cha hadithi za HALIF LELA U LELA....

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 6 Part 7: Mjakazi wa sultani
Simulizi za Hadithi EP 6 Part 7: Mjakazi wa sultani

Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha pili .....

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 5 Part 15: Hadithi ya safari ya Sinbad
Simulizi za Hadithi EP 5 Part 15: Hadithi ya safari ya Sinbad

Hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza muendelezo....

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 14: Simulizi ya binti wa kwanza na mbwa
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 14: Simulizi ya binti wa kwanza na mbwa

Tuendeleee kuburudika na simulizii zetu nzuri kutoka katika kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA....

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 17: Hadithi ya Malipo ya wema ni wema
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 17: Hadithi ya Malipo ya wema ni wema

Mwendelezo wa hadithi za HALIF LELA U LELA kitabu cha kwanza.....

Soma Zaidi...
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 18: Binti wa pili mwimba mashahiri mwenye makovu
Simulizi za Hadithi EP 4 Part 18: Binti wa pili mwimba mashahiri mwenye makovu

Mwendelezo wa hadithi kutoka kwenye kitabu cha kwanza cha hadithi za HALIF LELA U LELA......

Soma Zaidi...