picha

Ndege kwenye ulimbo

Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama nini

Miaka huyo muhenga unakwenda kutafuta ulimbk msituni,  inakuja kutengeneza kwa ajili ya kunasia ndege. Mti wa mmbungo ni moja katika mtito iliyotumika kutengeneza ulimbo. 

 

Sasa pale wanaponasa unaanza kukimbia huku macho yanaangalia juu. Unaangalia juu ili kwamba kama atachomoa utamjuwa alipoelekea. 

 

Sasa wakati unaangalia juu huku chini miguu inaweza kukanyaga miiba ama majiti. Hayabyite hata hujali. Kujenga inaweza ukagongwa na nyoka kwa kufanya hivyo. 

 

Mungu awabariki wahenga wote. 

By Muhenga Mkorofi

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Mengineyo Main: Post File: Download PDF Views 2458

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 ai web app     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

nataka niunganishe namba yangu kwa mtu mwingne ili kama kuna sms nimetumiwa ianzie kwa huyo mtu

Ikiwa nataka niunganishe namb yangu kwa mtu mwingne il kama kuna sms nime2miwa ianzie kwa huyo mtu nifanyeje?

Soma Zaidi...
Maumivu ya Chini ya Tumbo kwa Mwanamke: Sababu na Tiba

​Maumivu ya chini ya tumbo (nyonga) ni hali inayowapata wanawake wengi katika vipindi tofauti vya maisha yao. Maumivu haya yanaweza kuwa ya ghafla (kali) au ya muda mrefu (sugu), na yanaweza kusababishwa na mifumo mbalimbali mwilini ikiwemo mfumo wa uzazi, mkojo, au mmeng'enyo wa chakula. Makala hii inaangazia sababu kuu za maumivu haya na jinsi ya kukabiliana nayo.

Soma Zaidi...
Bongoclass

Bongoclass ni darasa la kushiriika akili na maarifa kutoka kwa watu mbalimbali katika kutumia fursa zilizopo ili kuzalisha kipato na kuleta maendeleo katika jami

Soma Zaidi...
More

Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.

Soma Zaidi...
More

Bila shaka umefurahishwa na huduma zetu, Je unataka huduma zaidi, Bofya kityfe cha Open hapo chini.

Soma Zaidi...