Ndege kwenye ulimbo
Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama nini
Miaka huyo muhenga unakwenda kutafuta ulimbk msituni, inakuja kutengeneza kwa ajili ya kunasia ndege. Mti wa mmbungo ni moja katika mtito iliyotumika kutengeneza ulimbo.
Sasa pale wanaponasa unaanza kukimbia huku macho yanaangalia juu. Unaangalia juu ili kwamba kama atachomoa utamjuwa alipoelekea.
Sasa wakati unaangalia juu huku chini miguu inaweza kukanyaga miiba ama majiti. Hayabyite hata hujali. Kujenga inaweza ukagongwa na nyoka kwa kufanya hivyo.
Mungu awabariki wahenga wote.
By Muhenga Mkorofi
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Kitabu Cha
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Maumivu ya Chini ya Tumbo kwa Mwanamke: Sababu na Tiba
​Maumivu ya chini ya tumbo (nyonga) ni hali inayowapata wanawake wengi katika vipindi tofauti vya maisha yao. Maumivu haya yanaweza kuwa ya ghafla (kali) au ya muda mrefu (sugu), na yanaweza kusababishwa na mifumo mbalimbali mwilini ikiwemo mfumo wa uzazi, mkojo, au mmeng'enyo wa chakula. Makala hii inaangazia sababu kuu za maumivu haya na jinsi ya kukabiliana nayo.
Soma Zaidi...Bezoa goat (mbuzi pori)
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)
Soma Zaidi...