Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama nini
Miaka huyo muhenga unakwenda kutafuta ulimbk msituni, inakuja kutengeneza kwa ajili ya kunasia ndege. Mti wa mmbungo ni moja katika mtito iliyotumika kutengeneza ulimbo.
Sasa pale wanaponasa unaanza kukimbia huku macho yanaangalia juu. Unaangalia juu ili kwamba kama atachomoa utamjuwa alipoelekea.
Sasa wakati unaangalia juu huku chini miguu inaweza kukanyaga miiba ama majiti. Hayabyite hata hujali. Kujenga inaweza ukagongwa na nyoka kwa kufanya hivyo.
Mungu awabariki wahenga wote.
By Muhenga Mkorofi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Bonoclass ni muunganiko wa maneno mawili, kutoka katika lugha mbili yaani lugha ya kiingereza na lugha ya kiswahili.
Soma Zaidi...MAAJABU YA VIUMBE Dunia ina maajabu sana lakini viumbe wana maajabu pia.
Soma Zaidi...Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa.
Soma Zaidi...Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)
Soma Zaidi...