Ndege kwenye ulimbo

Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama nini

Miaka huyo muhenga unakwenda kutafuta ulimbk msituni,  inakuja kutengeneza kwa ajili ya kunasia ndege. Mti wa mmbungo ni moja katika mtito iliyotumika kutengeneza ulimbo. 

 

Sasa pale wanaponasa unaanza kukimbia huku macho yanaangalia juu. Unaangalia juu ili kwamba kama atachomoa utamjuwa alipoelekea. 

 

Sasa wakati unaangalia juu huku chini miguu inaweza kukanyaga miiba ama majiti. Hayabyite hata hujali. Kujenga inaweza ukagongwa na nyoka kwa kufanya hivyo. 

 

Mungu awabariki wahenga wote. 

By Muhenga Mkorofi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Mengineyo Main: Jifunze File: Download PDF Views 1663

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Bongoclass ni nini, ipo wapi bongoclass na ni zipi kazi zake?

Bonoclass ni muunganiko wa maneno mawili, kutoka katika lugha mbili yaani lugha ya kiingereza na lugha ya kiswahili.

Soma Zaidi...
MAAJABU YA VIUMBE

MAAJABU YA VIUMBE Dunia ina maajabu sana lakini viumbe wana maajabu pia.

Soma Zaidi...
Promo

Kama wewe ni Muandishi mzuri za hadithi au makala za kutoa elimu kwa watu na unataka kazi yako iwafikie watu wengi, au unataka kazi yako iweze kukuingizia kipato, Bongoclass ndio mtatuzi wako sasa.

Soma Zaidi...
Cheetah

Posti hii inakwenda kukupa sifa za mnyama cheetah

Soma Zaidi...
Njia za kuwasiliana na Bongoclass

wasiliana nasi muda wowote kupitia mitandao yetu

Soma Zaidi...
Buibui hupuruka ijapokuwa hana mbawa.

Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.

Soma Zaidi...
Bezoa goat (mbuzi pori)

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sifa za mnyama bezoa goat (mbuzi pori)

Soma Zaidi...