Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa
Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936
Timu ya Simba ilizaliwa mwaka 1936 na ilishawahi kuitwa Queen kisha ikaitwa Eagles kisha ikaitwa Sundeeland.
Mwaka 1971 timu hii ilipewa jina la Simba, ambalo ni neno la kiswahili lenye maana ya Lion yaani Simba wa porini.
Mwaka 2022 ilikuwa ndio timu iliyoonyesha wanachama kwenye mtandao wa Instagram kwa haraka zaidi ya timu zote kwa asilimia 89 ukilinganisha na mwaka uliotangulia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO
POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi.
Soma Zaidi...VITABU VYA BURUDANI: CHEMSHABONGO, HADITHI, SIMULIZI, NA VICHEKESHO
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu
Soma Zaidi...