image

Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa

Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936

Timu ya Simba ilizaliwa mwaka 1936 na ilishawahi kuitwa Queen kisha ikaitwa Eagles kisha ikaitwa Sundeeland. 

 

Mwaka 1971 timu hii ilipewa jina la Simba,  ambalo ni neno la kiswahili lenye maana ya Lion yaani Simba wa porini. 

 

Mwaka 2022 ilikuwa ndio timu iliyoonyesha wanachama kwenye mtandao wa Instagram kwa haraka zaidi ya timu zote kwa asilimia 89 ukilinganisha na mwaka uliotangulia. 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 624


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

VITABU VYA BURUDANI: CHEMSHABONGO, HADITHI, SIMULIZI, NA VICHEKESHO
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu Soma Zaidi...

simulizi za hadithi, burudani na riwaya za kusisimua zenye visa na mikasa mbalimbali
Hadithi za alif Lela U Lela kitabu cha kwanza Soma Zaidi...

SIRI
Soma Zaidi...

Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa
Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936 Soma Zaidi...

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

MASHAIRI
UWANJA WA MASHAIRI              UWANJA WA ELIMU YA MASHAIRI Bofya link hapo chini kuanza kusoma 1. Soma Zaidi...

uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho. Soma Zaidi...

TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO
POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi. Soma Zaidi...

Kitabu Cha Kiapo Cha Mfalme
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

michezo
michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose. Soma Zaidi...