Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa
Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936
Timu ya Simba ilizaliwa mwaka 1936 na ilishawahi kuitwa Queen kisha ikaitwa Eagles kisha ikaitwa Sundeeland.
Mwaka 1971 timu hii ilipewa jina la Simba, ambalo ni neno la kiswahili lenye maana ya Lion yaani Simba wa porini.
Mwaka 2022 ilikuwa ndio timu iliyoonyesha wanachama kwenye mtandao wa Instagram kwa haraka zaidi ya timu zote kwa asilimia 89 ukilinganisha na mwaka uliotangulia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitau cha Fiqh π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Madrasa kiganjani π4 ai web app π5 web hosting π6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
VITABU VYA BURUDANI: CHEMSHABONGO, HADITHI, SIMULIZI, NA VICHEKESHO
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu
Soma Zaidi...uwanja wa burudani
Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Kitabu Cha Kiapo Cha Mfalme
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...MASHAIRI
UWANJA WA MASHAIRI Β Β Β Β Β Β Β UWANJA WA ELIMU YA MASHAIRI Bofya link hapo chini kuanza kusoma 1.
Soma Zaidi...simulizi za hadithi, burudani na riwaya za kusisimua zenye visa na mikasa mbalimbali
Hadithi za alif Lela U Lela kitabu cha kwanza
Soma Zaidi...