picha

Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa

Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936

Timu ya Simba ilizaliwa mwaka 1936 na ilishawahi kuitwa Queen kisha ikaitwa Eagles kisha ikaitwa Sundeeland. 

 

Mwaka 1971 timu hii ilipewa jina la Simba,  ambalo ni neno la kiswahili lenye maana ya Lion yaani Simba wa porini. 

 

Mwaka 2022 ilikuwa ndio timu iliyoonyesha wanachama kwenye mtandao wa Instagram kwa haraka zaidi ya timu zote kwa asilimia 89 ukilinganisha na mwaka uliotangulia. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Zaidi Main: Post File: Download PDF Views 1675

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 ai web app     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO

POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi.

Soma Zaidi...
uwanja wa burudani

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
michezo

michezo ni katika mambo ambayo mtu anatakiwa asiyakose.

Soma Zaidi...
uwanja wa burudani

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...