Timu ya simba ina miaka 87 sasa toka kuanzishwa
Kutokea kuitwa Sunderland mpaka Simba, timu hii ilianzishwa mwaka 1936
Timu ya Simba ilizaliwa mwaka 1936 na ilishawahi kuitwa Queen kisha ikaitwa Eagles kisha ikaitwa Sundeeland.
Mwaka 1971 timu hii ilipewa jina la Simba, ambalo ni neno la kiswahili lenye maana ya Lion yaani Simba wa porini.
Mwaka 2022 ilikuwa ndio timu iliyoonyesha wanachama kwenye mtandao wa Instagram kwa haraka zaidi ya timu zote kwa asilimia 89 ukilinganisha na mwaka uliotangulia.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
MASHAIRI
UWANJA WA MASHAIRI Â Â Â Â Â Â Â UWANJA WA ELIMU YA MASHAIRI Bofya link hapo chini kuanza kusoma 1.
Soma Zaidi...VITABU VYA BURUDANI: CHEMSHABONGO, HADITHI, SIMULIZI, NA VICHEKESHO
Soma hadithi za burudani na mashairi, cheka na furahia zaidi katika hadithi zetu
Soma Zaidi...Kwa nini watu wanadhani kuwa Ronaldo Nazario ndie mchezaji bora wa muda wote?
Wakati wengi wakiangazia uimara wa muda mrefu wa wachezaji wa zama za sasa (kama Lionel Messi au Cristiano Ronaldo), R9 anabaki kwenye mioyo ya mashabiki wengi kama mtu aliyevuka viwango vya kawaida vya kipaji.
Soma Zaidi...simulizi za hadithi, burudani na riwaya za kusisimua zenye visa na mikasa mbalimbali
Hadithi za alif Lela U Lela kitabu cha kwanza
Soma Zaidi...Kitabu Cha Kiapo Cha Mfalme
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...