Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo.
Asalaamu alykum warahmatullah wabarakaatuh
Sifanjema zinamstahikia Allah Mola wa viumbe, muumba wa mbingu na ardhi na vilivyomo. Mfalme na mmiliki wa ulimwengu na siku ya mwisho. Sala na amani zimuuendee kipenzi cha Allah mtume Muhammad (s.a.w) pamoja na masahaba zake na watu wa familiya yake.
Ama baada ya utangulizi huu, hiki ni kitabu cha dua kilichoandaliwa kwa ajili ya kutoa mafunzo juu ya dua na yanayohusiana. Kitabu hiki kimeandaliwa kwa lugha ya kiswahili na iliyo nyepesi zaidi ili kuwezesha wasomaji wapate kuelewa. Maandalizi ya kitabu hiuki yametokana na mafunzo kutoka kwenye quran na sunnah.
Kitabu hiki ni waqfu kwa ajili ya Allah na hakiuzwi. Kwa yeyote atakayetaka kukiprint awasiliane nasi kwa 0620555380 au admin@bongoclass.com. Kitabu hiki kimeanza kusambazwa kwa njia ya kimtandao hivyo tunatoa wito kwa anayeteka kukiprint awasiliane nasi kwa haraka zaidi.
Hiki ni kitabu cha kwanza katika mfululizo huu wa vitabu vya dua kutoka kwetu. Inshaa Allah tunatarajia kutoa mwendelezo wa kitabu hiki siku za mbeleni. Pia tunatoa wito kwa yeyote mwenye kuweza kuandika vitabu awasiliane nasi lkwa ajili ya mazungumzo zaidi.
Tumeandaa kazi hii kwa ajili ya Allah kwa kutaraji radhi zake na si vinginevyo. Pia tunatarajia dua kutoka kwenu wasomaji ili Allah atusamehe madhambi yetu pamoja na wazazi wetu na waislamu kwa ujumla.
Tunaomba kwa yeyote atakayeona kuna makosa kwenye kitabu hiki awahi haraka sana kuwasiliana nasi ili kuzuia kusambaa kwa makosa zaidi. Kitabu hiki cha kwanza nimekigawa katika sehemu kuu tano kama zitakavyoelezwa chini hapo.
Wabillah tawfiq
Al- ustadhi Rajabu Athuman
0620555380
admin@bongoclass.com
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu madawa yanayotolewa hospitalini, ni imani waliyonayo Watu hasa Watu wa bi vijijini na hata wa mjini nao wameanza kutumia madawa ya miti shamba kwa wingi.
Soma Zaidi...Unapotaka kufanyiwa baadhi ya matibabu unatakiwa kupewa ganzi ama nusu kaput ili kulifanyia usihisi maumivu. Dawa hizi zinajulikana na Anesthesia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole katika kutibu Minyoo, ni Aina mojawapo ya dawa ambayo usaidia kutibu Minyoo inayosababishwa na bakteria mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za dawa ya Artesunate katika kutibu Malaria kali, ni dawa ambayo inatumika sana kutibu Malaria kali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Acetohexamide kwa matibabu ya sukari, kama tulivyoona katika post iliyopita kwamba kuna kipindi ambacho kongosho linatoa insulini lakini seli haziko tayari kupokea hiyo insulini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu ukoma,na dawa hiyo ni dawa ya Dapsoni, hii dawa usaidia kuzuia nerve zisiendelee kupoteza kazi yake pia na ngozi iendelee kuwa kawaida
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Albendazole ni mojawapo ya dawa ambazo usaidia kutibu minyoo, na pia imefanikiwa sana kadri ya watumiaji wa dawa hiyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dawa ya Dapsone na kazi zake, hii ni dawa ambayo utumika katika kutibu ugonjwa wa ukimwi, dawa hii ufanya kazi kwa mchanganyiko wa dawa nyingine kama vile Rifampicin na clofaximine.
Soma Zaidi...