UTANGULIZI:-
Ni ndoto ya kola mwanamke na mwanaume siku moja awe na mtoto na familia. Kufanya hivi watu wamekuwa wakitafuta ujauzito, wengine unakuwa na wengine unatoka. Kuna wengine hawabahatiki kabisa kupata ujauzito. Makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utakwenda kupata utaratibi mzima wa mimba, kutoka kuingia kwake hadi kujifunguwa. Hapa nitakueleza mambo kadhaa kwa ajili ya kukupa Nukuu za juu juu muhimu hasa kwa wale ambao huu ni ujauzito wao wa kwanza.
YALIYOMO:
UTANGULIZI:- 2
SIKU YA KUPATA UJAUZITO 2
Imani potofu kuhusu dalili za ujauzito:- 2
Ni siku gani mimba huingia. 3
NI IPI HASA SIKU AMBAYO NITAFUTE UJAUZITO? 3
DALILI ZA MIMBA CHANGA: 4
DALILI ZA MIMBA KATIKA WIKI YA KWANZA NA PILI (SIKU 7 MPAKA 14) 4
DALILI ZA MIMBA KATIKA MWEZI WA KWANZA (Ndani ya siku 30) 5
Nini mwanamke afanye baada ya kukosa hedhi?. 6
DALILI NYINGINE ZA UJAUZITO 7
1. Uchovu wa mara kwa mara 7
2. Maumivu ya tumbo mara kwa mara 7
3. Kichefuchefu 7
5. Mtotockucheza 7
6. Kuongezeka kwa uzito 7
7. Kupata kiungulia mara kwa mara 7
8. Kukosa choo 7
9. Maumivu ya mgongo 7
10. Hasira za mara kwa mara 7
11. Maumivu maeneo ya nyonga 7
12. Kuharisha 7
CHANGAMOTO ZA UAJAUZITO NA DALILI ZENYE KUENDELEA: 7
JE NITAHAKIKISHA VIPI KAMA NINA UJAUZITO? 8
JE NAWEZA UPIMA UJAUZITO KWA KUTUMIA CHUMVI NA SUKARI? 10
1. Sukari 10
2. Chumvi 10
3. Sabuni 10
4. Mafuta 10
5. Delto 10
6. Shampoo 10
NJIA ZA KIASILI WALIZOTUMIA ZAMANI KUPIMA UJAUZITO: 11
HATUA KUU TATU ZA UKUAJI WA MIMBA. 12
1. trimester ya kwanza (first trimester) 12
2. Trimester ya pili (second trimester) 13
3. Trimester ya tatu (third trimester) 14
KUTOKA KWA UJAUZITO, DALILI ZAKE NA SABABU ZAKE. 14
Dalili za kutoka kwa mimba: 14
I. Kupotea kwa dalili nyingine za ujauzito 14
Ni zipi sababu za kutoka kwa mimba? 15
Sababu nyingine za kutoka kwa mimba 15
NITAZUIAJE MIMBA KUTOKA? 15
MAJIMAJI YANAYOTOKA UKENI WAKATI WA UJAUZITO 16
UTI NA UJAUZITO. 17
Dalili za UTI 17
Njia za kujikinga na UTI 17
KUSHIRIKI TENDO LA NDOA WAKATI WA UJAUZITO 17
MWANAMKE MWENYE VIRUSI VYA UKIMWI NA UJAUZITO. 18
LISHE SALAMA KWA MJAMZITO: 20
VYAKULA HATARI KWA MJAMZITO HASA KWA MIMBA CHANGA 20
DALILI ZA KUJIFUNGUWA HATUA KWA HATUWA: 21
Daliili za kukaribia kujifunguwa kwa siku kadhaa 21
1. Maumivu ya nyonga kuongezeka 21
2. Uchovu kuongezeka 21
3. Kutoa damu yenye utelezi 21
4. Viungo kuachia 21
8. Kuharisha 21
9. Maumivu ya mgongo kuongezeka 21
Dalili za kujifunguwa kwa masaa machache: 22
Uchungu wa kujifunguwa: 22
1. Katika hatuwa ya kwanza 22
2. Hatua hii ya pili 22
3. Hatuwa ya tatu 23
NINI UFANYE UKIWA KATIKA UCHUNGU WA KUJIFUNGUA KATIKA 23
MIMBA ILIYOTUNGIA NJE: 23
Kwa nini mimba hii ni hatari? 24
Sababu za kutokea mimba hii 24
2. Maumivu ya mabega 24
5. Mvurugiko wa tumbo na kutapika 24
7. Kizunguzungu na uchovu 24
8. Maumivu ya mabega, shingo na mkundu. 24
Sababu za kutokea kwa mimba hii. 24
Nini tena yapasa kujuwa? 24