Kitunguuu thaumu ni muhimu sana katika afya yako, je unazijuwa faida hizo? njoo pamoja nami
13.kitunguu saumu. Watu wamekuwa wakitumia kiungo hiki kwa kupikia toka enzi za mababu. Halikadhalika kiungo hiki kimekuwa kikitumika kama dawa kwa karne nyingu, maeneo mengi duniani. Utafiki unaonesha kuwa katika kitunguu saumu kuna βallicinβ hii husaidia katika kuimarisha mfumo wa kinga katika kupambana na maradhi mbalimbali. Tumia kiungo hiki kwa kupikia. Pia unaweza kutafuna punje zake. Watu wenye maradhi mablimbali wamekuwa wakitumia kiungo hiki na kuona mafanikio.
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Soma Zaidi...posti hii inaonyesha dalili na Ishara kuu ya utasa wa kiume ni kutokuwa na uwezo kumpa mwanamke ujauzito. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri.
Soma Zaidi...kijamiana kwa uchungu kitaalamu hujulikana Kama dysarthria ambayo inafafanuliwa kuwa maumivu ya mara kwa mara au ya mara kwa mara katika sehemu ya siri ambayo hutokea kabla tu, wakati au baada ya kujamiiana
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi jeraha kwenye ubongo hasahasa jeraha la kawaida yaani lisilokuwa kali, ni jeraha ambalo utokana na ajali au kupigwa na kitu chochote kwenye kichwa, zifuatazo ni dalili za jeraha lisilokuwa la kawaida kwenye ubongo.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu
Soma Zaidi...kuvimba kwa neva ya macho, fungu la nyuzi za neva ambazo hupitisha taarifa za kuona kutoka kwa jicho lako hadi kwenye ubongo wako. Maumivu na kupoteza maono kwa muda ni dalili za kawaida za kivimba kwa neva ya macho ambayo kitaalamu huitwa neuritis ya o
Soma Zaidi...Tijufunze zaidi kuhusu saratani ya koo. Vihatarishi vyake,dalili zake,tiba na lishe kwa mgonjwa mwenye saratani ya koo.
Soma Zaidi...Sty ni uvimbe mwekundu, chungu karibu na ukingo wa kope ambalo linaweza kuonekana kama jipu au chunusi. Sties mara nyingi hujazwa na usaha. Mtindo kawaida huunda nje ya kope lako. Lakini wakati mwingine inaweza kuunda kwenye sehemu ya ndani ya kope lak
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...