Faida za kula Kitunguu

Kitunguuu thaumu ni muhimu sana katika afya yako, je unazijuwa faida hizo? njoo pamoja nami

Faida za kula Kitunguu

13.kitunguu saumu. Watu wamekuwa wakitumia kiungo hiki kwa kupikia toka enzi za mababu. Halikadhalika kiungo hiki kimekuwa kikitumika kama dawa kwa karne nyingu, maeneo mengi duniani. Utafiki unaonesha kuwa katika kitunguu saumu kuna โ€˜allicinโ€™ hii husaidia katika kuimarisha mfumo wa kinga katika kupambana na maradhi mbalimbali. Tumia kiungo hiki kwa kupikia. Pia unaweza kutafuna punje zake. Watu wenye maradhi mablimbali wamekuwa wakitumia kiungo hiki na kuona mafanikio.


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Afya File: Download PDF Views 958

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰4 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰5 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Sababu zinazosababishwa na bacteria aina ya Salmonella.

ร‚ย Bakteria aina ya Salmonella huishi ndani ya matumbo ya watu, wanyama na ndege.ร‚ย  Watu wengi wameambukizwa salmonella kwa kula vyakula vilivyochafuliwa na kinyesi.ร‚ย 

Soma Zaidi...
Naomba mnielekeze jinsi ya matayarisho ya Mbegu za papai mpaka nianze kuzitumia kama tiba

Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi

Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango

Soma Zaidi...
Watu wenye kundi O na tabia na vyakula vyao

Posti hii inahusu zaidi watu wa kundi O na vyakula ambavyo wanapaswa kula na tabia za watu hawa wana vyakula ambavyo wanapaswa kula na vingine hawapaswi kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.

Soma Zaidi...
JE ?WAJUA WANADAMU WA KWANZA JINSI WALIVYOWEZA KUISHI NA MUNGU ?

Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa

Soma Zaidi...
Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa ?

Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?

Soma Zaidi...
Naulizia nyenzo alizotumia nabii Ada (A.S) kusimamisha ukhalifa

Baada ya Nuhu(a.s) Mtume aliyemfuatia ni Nabii Hud(a.s). Hud(a.s) alitumwa na Mola wake kuwalingania kabila (taifa) la ‘Ad. Kabila la ‘Ad lilikuwa likijulikana kama ‘Ad-al-ram au ‘Ad-Ula. ‘Ad walikuwa wakiishi kusini ya Bara

Soma Zaidi...
Elimu juu ya afya ya uzazi

Makala hii itakwenda kukufundisha mambo mbalimbali na muhimu kuhusu afya ya uzazi

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.

Soma Zaidi...