Dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI

DALILI ZA MWANZO ZA HIV AMA UKIMWDalili hizi huanza kuonekana kuanzia wiki mbili mpaka nne na wakati mwingine mpaka sita toka kuingia mwilini. Mara chache sana huweza kuonekana mwanzoni mwa wiki ya kwanza. Katika kipindi hiki mtu anaweza kuona dalili zifuatazo:1.kufimba kwa tezi za kwenye makwapa, mapaja na shingo2.Homa3.Uchovu4.Kuharisha5.Kupungua uzito6.Kikohozi7.Pumzi kutoka kidogodogo8.Mafua

Dalili hizi pia zinaweza kuhusiana na maradhi mengine, hivyo inaweza kuwa vigumu kujuwa nini chanzo zaidi. Wengi katika wanaopata HIV wametaja kuwa kuvimba kwa tezi ndio dalili pekee walioweza kuopata mwanzoni mwa kuathirika kwao. Wengine wanataja mafua kuwa ndio dalili yao ya kwanza.

 

Baada ya kipindi hiki kupita mgonjwa hatapata dalili yeyote ile. Hiki ni kipindi hatari sana kwani mtu hataweza kujijua kama ameathirika. Kipindi hiki kinaweza kudumi mpaka miaka 10. katika kipindi hiki virusi vinaendelea kuathiri seli za mwili. Baada ya mwili kuwa umeathirika sana na kudhoofu mtu ataanza kupata dalili za UKIMWI.

 

DALILI ZA UKIMWI1.kutokwa na jasho jingi wakati wa usiku2.Kupata homa za mara kwa mara na kuhisi baridi3.Kikohozi4.Kushinwa kupumua vyema5.Madoa madoa kwenye ulimi na mdomoni6.Maumivu ya kichwa7.Uchovu usiokuwa na sababu na usioisha8.Kutokuona vyema9.Kupungua uzito10.Mapele na ukurutu kwenye ngozi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Afya File: Download PDF Views 1281

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 web hosting    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Madhara ya kupiga punyeto

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kupiga punyeto, ni madhara yanayotokea kwa watu wanapenda kupiga punyeto.

Soma Zaidi...
Faida za vitunguu swaumu

Posti hii inaonyesha Faida za vitunguu swaumu.vitunguu swaumu sio kiungo Cha chakula tu kama desturi ya watu wengi wanavyojua Bali kitunguu swaumu kimesimama Kama dawa pia ya kutibu maradhi na Magonjwa mengi mwilini.

Soma Zaidi...
Get well understood on ACNE skin condition.

DEFINITIONAcne is a skin condition that occurs when your hair follicles become plugged with oil and dead skin cells. Acne usually appears on your face, neck, chest, back and shoulders. Effective treatments are available, but acne can be persistent. The pi

Soma Zaidi...
KOSA LANGU LIKO WAPI

Post hii inahusu Vijana walivyoingiliana kwenye mahusiano na kusababisha kitoelewana kwa hiyo tutaona jinsi walivyoendeleana na kusababisha maumivu zaidi.

Soma Zaidi...
Dalili na sababu zinazopelekea matatizo ya ugonjwa wa ngono.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili zilizopo katika matatizo ya ngono.

Soma Zaidi...
Faida za kula Kitunguu

Kitunguuu thaumu ni muhimu sana katika afya yako, je unazijuwa faida hizo? njoo pamoja nami

Soma Zaidi...
Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Matatizo ya tezi dume hazijashuka.

Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu

Soma Zaidi...