Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai

 Faida za mbegu za papai

? Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa unga. Pia unaweza kuzikaanga kidogo ama kuzichemsha.

1. husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vyema

2. Husaidia kuzuia kupata saratani

3. Hulinda figo kufanya kazi vyema

4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi

5. Husaidia kwa wenye kisukari

6. Husaidia katika kuondosha sumu za kemikali mwilini

7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Main: Afya File: Download PDF Views 2328

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 web hosting    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

JE ?WAJUA WANADAMU WA KWANZA JINSI WALIVYOWEZA KUISHI NA MUNGU ?

Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa

Soma Zaidi...
Tabia na vyakula vya kundi B.

Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi

Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango

Soma Zaidi...
Dalili na sababu zinazopelekea matatizo ya ugonjwa wa ngono.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili zilizopo katika matatizo ya ngono.

Soma Zaidi...
Elimu juu ya afya ya uzazi

Makala hii itakwenda kukufundisha mambo mbalimbali na muhimu kuhusu afya ya uzazi

Soma Zaidi...
Dawa za utbu Fangasi wa wenye ucha

Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha.

Soma Zaidi...
NINI MAANA YA BROWSER AU KIVINJALI KATIKA INTERNET

Nahitimisha kwa kusema ili ufanikiwe katika kuwa mahili wa kutafuta taarifa mtandaoni au kujifunza chochote mtandaoni ni lazima uelewe kuwa borwser au kivinjali kwa kiswahili ndio kama njia ya wewe kuingilia tovuti yoyote ile duniani.

Soma Zaidi...
Naulizia nyenzo alizotumia nabii Ada (A.S) kusimamisha ukhalifa

Baada ya Nuhu(a.s) Mtume aliyemfuatia ni Nabii Hud(a.s). Hud(a.s) alitumwa na Mola wake kuwalingania kabila (taifa) la ‘Ad. Kabila la ‘Ad lilikuwa likijulikana kama ‘Ad-al-ram au ‘Ad-Ula. ‘Ad walikuwa wakiishi kusini ya Bara

Soma Zaidi...
Naomba mnielekeze jinsi ya matayarisho ya Mbegu za papai mpaka nianze kuzitumia kama tiba

Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam

Soma Zaidi...