Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai
Faida za mbegu za papai
? Mbegu za papai mara nyingi huliwa baada ya kukaushwa na kusagwa unga. Pia unaweza kuzikaanga kidogo ama kuzichemsha.
1. husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kufanya kazi vyema
2. Husaidia kuzuia kupata saratani
3. Hulinda figo kufanya kazi vyema
4. Husaidia mwili katika kupambana na vijidudu vya maradhi
5. Husaidia kwa wenye kisukari
6. Husaidia katika kuondosha sumu za kemikali mwilini
7. Mbegu za papai zina virutubisho mbalimbali
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
DEFINITIONAcne is a skin condition that occurs when your hair follicles become plugged with oil and dead skin cells. Acne usually appears on your face, neck, chest, back and shoulders. Effective treatments are available, but acne can be persistent. The pi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula wanavyopaswa kutumia watu wenye damu ya kundi AB
Soma Zaidi...Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa
Soma Zaidi...Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?
Soma Zaidi...posti hii inaonyesha dalili na Ishara kuu ya utasa wa kiume ni kutokuwa na uwezo kumpa mwanamke ujauzito. Kunaweza kuwa hakuna dalili nyingine dhahiri.
Soma Zaidi...