picha

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.

Namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa.

1. Chukua mbegu ya parachichi, osha vizuri na hakikisha kwamba imetakata.

 

 

2. Twanga kwenye kinu au kuna kwenye kikunio na hakikisha kuwa imekuwa kama unga.

 

 

 

3. Kausha kwenye jua na hakikisha imekauka na wengine ukausha kwenye kivuli.

 

 

 

4. Chukua unga huo na usage tena na hakikisha unakuwa kama  unga.

 

 

 

5.chukua huo unga weka kwenye kopo au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwa kutunzia.

 

 

 

6. Chukua unga huo uwe unaweka kwenye chai na kunywa kila siku na hauozi hata siku moja.

 

 

 

 

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/16/Saturday - 03:27:01 pm Topic: General Main: Afya File: Download PDF Views 8393

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 ai web app    πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi siku za mwanzo

Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna

Soma Zaidi...
Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa ?

Nauriza mjamzito kuvimba miguu na maziwa nini tatizo lake?

Soma Zaidi...
Sababu zinazosababishwa na bacteria aina ya Salmonella.

 Bakteria aina ya Salmonella huishi ndani ya matumbo ya watu, wanyama na ndege.  Watu wengi wameambukizwa salmonella kwa kula vyakula vilivyochafuliwa na kinyesi. 

Soma Zaidi...
Tabia na vyakula vya kundi B.

Posti hii inahusu zaidi tabia na vyakula vya watu wa kundi B,hawa ni watu wenye sifa za pekee na wanapaswa kupata vyakula vyao kama tutakavyoona hapo baadaye.

Soma Zaidi...
Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Dalili zinazosababisha joto la mwili kuwa juu.

Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kukaa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto la mwili

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi

Sababu za maumivu ya tumbo la chango wakati wa hedhi, nini ufanye na dalili za maumivu ya tumbo la chango

Soma Zaidi...