picha

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.

Namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa.

1. Chukua mbegu ya parachichi, osha vizuri na hakikisha kwamba imetakata.

 

 

2. Twanga kwenye kinu au kuna kwenye kikunio na hakikisha kuwa imekuwa kama unga.

 

 

 

3. Kausha kwenye jua na hakikisha imekauka na wengine ukausha kwenye kivuli.

 

 

 

4. Chukua unga huo na usage tena na hakikisha unakuwa kama  unga.

 

 

 

5.chukua huo unga weka kwenye kopo au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwa kutunzia.

 

 

 

6. Chukua unga huo uwe unaweka kwenye chai na kunywa kila siku na hauozi hata siku moja.

 

 

 

 

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: General Main: Post File: Download PDF Views 10040

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Dawa za utbu Fangasi wa wenye ucha

Maala h nawenda kukufundisha matbabu ya utbu fangas wa wenye ucha.

Soma Zaidi...
Malengo ya elimu katika uislamu

Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu

Soma Zaidi...
Mafunzo ya Computer kwa Kiswahili

Utajifunza na kuelewa hata kama hauna computer kwa muda huo

Soma Zaidi...
Fahamu njia ya kuchagua dawa

njia ya kuchagua dawa itumike inategemea mambo mawili ambayo ni:Kutegemea dawa: Maandalizi yaliyopoInategemea hali ya mgonjwa: Dharura au kutowezekana kwa ulaji kwa baadhi ya njia ya utawala wa dawa ni njia ya ambayo dawa au dutu nyingine huletwa na mwi

Soma Zaidi...
Matatizo ya tezi dume hazijashuka.

Posti hii inaonyesha matatizo ya tezi dume zilizoshuka.

Soma Zaidi...
NINI MAANA YA BROWSER AU KIVINJALI KATIKA INTERNET

Nahitimisha kwa kusema ili ufanikiwe katika kuwa mahili wa kutafuta taarifa mtandaoni au kujifunza chochote mtandaoni ni lazima uelewe kuwa borwser au kivinjali kwa kiswahili ndio kama njia ya wewe kuingilia tovuti yoyote ile duniani.

Soma Zaidi...