Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
1. Chukua mbegu ya parachichi, osha vizuri na hakikisha kwamba imetakata.
2. Twanga kwenye kinu au kuna kwenye kikunio na hakikisha kuwa imekuwa kama unga.
3. Kausha kwenye jua na hakikisha imekauka na wengine ukausha kwenye kivuli.
4. Chukua unga huo na usage tena na hakikisha unakuwa kama unga.
5.chukua huo unga weka kwenye kopo au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwa kutunzia.
6. Chukua unga huo uwe unaweka kwenye chai na kunywa kila siku na hauozi hata siku moja.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi watu wa kundi O na vyakula ambavyo wanapaswa kula na tabia za watu hawa wana vyakula ambavyo wanapaswa kula na vingine hawapaswi kama tutakavyoona hapo baadaye.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za vitunguu swaumu.vitunguu swaumu sio kiungo Cha chakula tu kama desturi ya watu wengi wanavyojua Bali kitunguu swaumu kimesimama Kama dawa pia ya kutibu maradhi na Magonjwa mengi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za HIV/UKIMWI
Soma Zaidi...Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam
Soma Zaidi...MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.
Soma Zaidi...kuvimba kwa neva ya macho, fungu la nyuzi za neva ambazo hupitisha taarifa za kuona kutoka kwa jicho lako hadi kwenye ubongo wako. Maumivu na kupoteza maono kwa muda ni dalili za kawaida za kivimba kwa neva ya macho ambayo kitaalamu huitwa neuritis ya o
Soma Zaidi...DEFINITIONAcne is a skin condition that occurs when your hair follicles become plugged with oil and dead skin cells. Acne usually appears on your face, neck, chest, back and shoulders. Effective treatments are available, but acne can be persistent. The pi
Soma Zaidi...Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika kama peptic ulcers.
Soma Zaidi...