Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.
1. Chukua mbegu ya parachichi, osha vizuri na hakikisha kwamba imetakata.
2. Twanga kwenye kinu au kuna kwenye kikunio na hakikisha kuwa imekuwa kama unga.
3. Kausha kwenye jua na hakikisha imekauka na wengine ukausha kwenye kivuli.
4. Chukua unga huo na usage tena na hakikisha unakuwa kama unga.
5.chukua huo unga weka kwenye kopo au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwa kutunzia.
6. Chukua unga huo uwe unaweka kwenye chai na kunywa kila siku na hauozi hata siku moja.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
 Bakteria aina ya Salmonella huishi ndani ya matumbo ya watu, wanyama na ndege. Watu wengi wameambukizwa salmonella kwa kula vyakula vilivyochafuliwa na kinyesi.ÂÂ
Soma Zaidi...GOOGLE ADSENSE ni moja kati ya njia za kuu na muhimu za kujiingizia kipato kwa waandishi na wamiliki wa blogs na website.Naweza kusema kwamba ndio kampuni inayolipa vizuri kuliko nyingine yoyote ile japo zipo nyingine kama;
Soma Zaidi...Posti hii inajihusisha jinsi gani wanadamu wa kwanza walivyoishi na mwenyezi Mungu apo zamani.tunaona kuwa vitabu vinatuambia vya dini vinatuambia Mungu amemuumba mwanadamu kwa mikono yake mwenyewe.lakini kisayansi tunaona kwamba mwanadamu ametokana na wa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.
Soma Zaidi...Kukatika kwa nywele kunaweza kuathiri tu kichwa chako au mwili wako mzima. Inaweza kuwa matokeo ya urithi, mabadiliko ya homoni, hali ya matibabu au dawa. Mtu yeyote wanaume, wanawake na watoto anaweza kupoteza Nywele.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili zilizopo katika matatizo ya ngono.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za vitunguu swaumu.vitunguu swaumu sio kiungo Cha chakula tu kama desturi ya watu wengi wanavyojua Bali kitunguu swaumu kimesimama Kama dawa pia ya kutibu maradhi na Magonjwa mengi mwilini.
Soma Zaidi...