Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 852
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
Hello Natatizo la fangasi kwenye mdomo ila sipati maumivu yeyote huwa npo kawaida tu. Na chakula nakula vzr, nimetumia dawa ili kutibu uu muonekano wa ulimi uwe vzr lakn Bado cjapata dawa sahihi
Habari me ni msichan mwenye umri wa miaka 22 swali langu ni kwamba ni kitu gan kinachosababisha maumivu ya chini ya tumbo wakati wa kujamianaa???
Mimi nimefnya mpzi baada ya siku tano nimeona dalili za mimb ila baada ya wiki moja nimepima sina mimb ila nipo na dalili hadi sasa inakuwa nini
Je kuna athari gani endapo muhusika amefariki na watu wakawa hawakurith mali hiyo, na je hakuna tabu yoyote inayompata maiti huyo huko alipo? Naomba ufafanuzi wako, ahsante.
Assalam.alykum,sababu za mam aliejifunguwa kuvimba kwa uso