Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 852
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sorry nlikua naomba kuuliza kuharisha kinyesi cheusi inaweza kusababishwa na nn
Mm napata maumivu ya tumbo upande wakushoto chini
Habar ya ww mtaalamu ,sasa nilitaka kufahamu kama shilingi inaweza sababishwa na minyoo maana hapa nilipo ninashilingi kifuani nimetumia dawa za kupaka inasaidia ninapoendelea kutumia dawa ,dawa inapokuwa imeisha yenyew inaanza upya na shilingi hii inawasha na ina uweupe Fulani ina mda kama miaka 6 saiv haitaki kuisha,vilevile saivi imeongezeka kichwani na hata usoni ,nilishauriwa pharmacy kwa nitumie dawaa ya minyoo itasaidia
Dawa ya benpham kwa mtoto wa mwaka 1na nusu anaweza tumia anadalili zote za minyoo
Naomba kujua shubiri nini.ambayo mgonjwa wa vidonda vya tumbo anaweza kutumia?
Habari namsaidiaje MTU aliepatwa na gesi shimoni au kwa lugha nyingine MTU aliepatwa na mgandamizo wa hewa chafu underground MTU kama huyo namsaidiaje