Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Vipi boga kuhusiana na mgonjwa was sukari
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 852
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sawa,mbegu zangu hutoka nyepesi sana baada ya tendo zinatoka,je Naweza kuwa na tatizo ? na je unazo dawa za kuboresha ?
Hello,mtu anatakiwa kula vyakula gani wakati wa siku za hatari ilikuweza kupata ujauzito.
samahan mm Kuna mda naweza kua natembea mala gafla nachomwa na kitu kiunoni uku kinashuka kidogo kwenye paja apo mguu hauwezi kukanyaga Tena mpaka nisimame Kama dak 3 ndo niendelee na safal,je ilo ni tatizo gani,na linaweza badae kuleta hathar gani ktk mwili wangu na naweza kufanya nini? ili kuondoa ili tatizo.
Mm nmgonjwa wa fangasii za mdomoo na hii naamini kua nmepata kutokana na kutumia anti biotic kwa mda wa miezii miwilii ivo naisii kabsaa njia moja wapo ivo basii nmejalbuu kutumia dawa naona aviponii hii ya kupaka micor oral gel so nfanyajee
Mm natokwa na uchafu mweupe mzito nasijisi km Nina mimba shida itakuwa Nini daktari
Mwanamke anapotalikiwa yapaswa kwake kufanya nini na kutofanya nini